Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Naombeni msaada jinsi ya kuzifanya nywele zangu ziwe nyeusi na zilizoshiba.
Nimekuwa mtu wa nywele nyepesi na zisizo na afya.
Kama unajua mafuta yeyote ya nywele yanayoweza kubadilisha nywele zangu naomba mnisaidie.
Napenda kuwa na nywele nyeusi, nzuri na za kuvutia.
Asante
Nimekuwa mtu wa nywele nyepesi na zisizo na afya.
Kama unajua mafuta yeyote ya nywele yanayoweza kubadilisha nywele zangu naomba mnisaidie.
Napenda kuwa na nywele nyeusi, nzuri na za kuvutia.
Asante