Steaming ya nywele kwa nywele nyepesi

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Naombeni msaada jinsi ya kuzifanya nywele zangu ziwe nyeusi na zilizoshiba.

Nimekuwa mtu wa nywele nyepesi na zisizo na afya.

Kama unajua mafuta yeyote ya nywele yanayoweza kubadilisha nywele zangu naomba mnisaidie.

Napenda kuwa na nywele nyeusi, nzuri na za kuvutia.

Asante
 
Unataka ziwe kama hizi? Ni pm au npigie 0752 720276
 

Attachments

  • 1398423870314.jpg
    40.8 KB · Views: 1,575
  • 1398423932431.jpg
    39.7 KB · Views: 1,086
Hiyo ni unisex mtu yeyote anaweza kutumia
 
Habari wandugu. Samahani, naombeni kujua ni steaming gani ni nzuri zaidi kwa mtu mwenye nywele nyepesi ambayo inapatikana kwenye maduka ya Tz? Au kama ni kutengeneza naturally, nitumie vitu gani kupata steming itakayojifaa?
 
Masterproud kumbe we ni me!!!!!! ngoja wataalamu waje kukuhabarisha
 
Last edited by a moderator:
Habari wandugu. Samahani, naombeni kujua ni steaming gani ni nzuri zaidi kwa mtu mwenye nywele nyepesi ambayo inapatikana kwenye maduka ya Tz? Au kama ni kutengeneza naturally, nitumie vitu gani kupata steming itakayojifaa?

Tengeneza parachichi,kiini cha yai la kienyeji,asali,maziwa fresh,ndizi ya kuiva zinajaa haraka .
 
Tengeneza parachichi,kiini cha yai la kienyeji,asali,maziwa fresh,ndizi ya kuiva zinajaa haraka .

Au tui la nazi lile zito kabisa.

Unaweka kichwani vizuri upakae kwenye scalp then unavaa kofia ya steaming. Au shower cap for about 40 min to 1 hr. Then unaosha. Hii inasaidia na mba pia.
 
njo nikupe mafuta kijana mzuri.
 
Au tui la nazi lile zito kabisa.

Unaweka kichwani vizuri upakae kwenye scalp then unavaa kofia ya steaming. Au shower cap for about 40 min to 1 hr. Then unaosha. Hii inasaidia na mba pia.
Ngoja nidese hapa na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…