Stella Nyanzi aliyehukumiwa kwa kumtukana Rais Museveni Facebook, ameachiwa Jaji akisema alihukumiwa kimakosa

Stella Nyanzi aliyehukumiwa kwa kumtukana Rais Museveni Facebook, ameachiwa Jaji akisema alihukumiwa kimakosa

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mwanaharakati Stella Nyanzi aliyefungwa akielezwa kuwa alimtukana Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameachiwa huru huku Jaji akieleza kuwa alifungwa kimakosa

Msemaji wa Magereza, Frank Baine amesema Stella alirudishwa katika gereza alilokuwemo lenye ulinzi mkali kwenda kuchukua vitu vyake baada ya Mahakama kuagiza aachiwe

1.jpg

Nyanzi, ambaye katika ukurasa wake wa Facebook aliwahi kuelezea Rais Museveni kama "jozi ya makalio", Agosti 2019 alihukumiwa miezi 18 baada ya kupatikana na hatia ya udhalilishaji Rais Mtandaoni

Vurugu zilizuka nje ya chumba cha Mahakama wakati wafuasi wake walipojaribu kumlinda kutokana na kile walichoamini kulikuwa na jaribio la kutaka kumkamata tena

Mwanaharakati huyo ambaye pia alikuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Makerere, ana wafuasi waaminifu wanaoamini ametendewa vibaya kutokana na kuikosoa Serikali waziwazi
*****

A Ugandan academic who was imprisoned after insulting the president was freed Thursday by a judge who said she had been wrongfully convicted.

Frank Baine, a spokesman for the prisons service, said Stella Nyanzi was driven back to the maximum-security prison to collect her belongings after the high court ordered her release.

Chaotic scenes erupted outside the courtroom as her supporters tried to protect her from what they believed was an attempt to re-arrest her. Authorities in the East African nation sometimes re-arrest freed suspects by asserting fresh charges.

Nyanzi, who in a Facebook post once described Uganda’s longtime President Yoweri Museveni as “a pair of buttocks,” was sentenced to 18 months in August after being found guilty of cyber harassment.

The former academic fellow at Makerere University attracted the attention of authorities with bold, often profane descriptions of alleged shortcomings of the Ugandan government, including for its failure to honor a pledge to provide free sanitary pads to schoolgirls.

Amnesty International and several Ugandan rights groups had called for Nyanzi’s unconditional release. She has a loyal following among some Ugandans who believe she has been unfairly treated for openly criticizing the government.
 
Baada ya kuachiwa amesema - iam planning to offend Museveni again!
 
Mwanaharakati Stella Nyanzi aliyefungwa akielezwa kuwa alimtukana Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameachiwa huru huku Jaji akieleza kuwa alifungwa kimakosa

Msemaji wa Magereza, Frank Baine amesema Stella alirudishwa katika gereza alilokuwemo lenye ulinzi mkali kwenda kuchukua vitu vyake baada ya Mahakama kuagiza aachiwe


Nyanzi, ambaye katika ukurasa wake wa Facebook aliwahi kuelezea Rais Museveni kama "jozi ya makalio", Agosti 2019 alihukumiwa miezi 18 baada ya kupatikana na hatia ya udhalilishaji Rais Mtandaoni

Vurugu zilizuka nje ya chumba cha Mahakama wakati wafuasi wake walipojaribu kumlinda kutokana na kile walichoamini kulikuwa na jaribio la kutaka kumkamata tena

Mwanaharakati huyo ambaye pia alikuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Makerere, ana wafuasi waaminifu wanaoamini ametendewa vibaya kutokana na kuikosoa Serikali waziwazi
*****

A Ugandan academic who was imprisoned after insulting the president was freed Thursday by a judge who said she had been wrongfully convicted.

Frank Baine, a spokesman for the prisons service, said Stella Nyanzi was driven back to the maximum-security prison to collect her belongings after the high court ordered her release.

Chaotic scenes erupted outside the courtroom as her supporters tried to protect her from what they believed was an attempt to re-arrest her. Authorities in the East African nation sometimes re-arrest freed suspects by asserting fresh charges.

Nyanzi, who in a Facebook post once described Uganda’s longtime President Yoweri Museveni as “a pair of buttocks,” was sentenced to 18 months in August after being found guilty of cyber harassment.

The former academic fellow at Makerere University attracted the attention of authorities with bold, often profane descriptions of alleged shortcomings of the Ugandan government, including for its failure to honor a pledge to provide free sanitary pads to schoolgirls.

Amnesty International and several Ugandan rights groups had called for Nyanzi’s unconditional release. She has a loyal following among some Ugandans who believe she has been unfairly treated for openly criticizing the government.

jombaa na wewe jaribu tuone watakufanya nn...i will be your supporter..
 
Mwanaharakati Stella Nyanzi aliyefungwa akielezwa kuwa alimtukana Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameachiwa huru huku Jaji akieleza kuwa alifungwa kimakosa

Msemaji wa Magereza, Frank Baine amesema Stella alirudishwa katika gereza alilokuwemo lenye ulinzi mkali kwenda kuchukua vitu vyake baada ya Mahakama kuagiza aachiwe


Nyanzi, ambaye katika ukurasa wake wa Facebook aliwahi kuelezea Rais Museveni kama "jozi ya makalio", Agosti 2019 alihukumiwa miezi 18 baada ya kupatikana na hatia ya udhalilishaji Rais Mtandaoni

Vurugu zilizuka nje ya chumba cha Mahakama wakati wafuasi wake walipojaribu kumlinda kutokana na kile walichoamini kulikuwa na jaribio la kutaka kumkamata tena

Mwanaharakati huyo ambaye pia alikuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Makerere, ana wafuasi waaminifu wanaoamini ametendewa vibaya kutokana na kuikosoa Serikali waziwazi
*****

A Ugandan academic who was imprisoned after insulting the president was freed Thursday by a judge who said she had been wrongfully convicted.

Frank Baine, a spokesman for the prisons service, said Stella Nyanzi was driven back to the maximum-security prison to collect her belongings after the high court ordered her release.

Chaotic scenes erupted outside the courtroom as her supporters tried to protect her from what they believed was an attempt to re-arrest her. Authorities in the East African nation sometimes re-arrest freed suspects by asserting fresh charges.

Nyanzi, who in a Facebook post once described Uganda’s longtime President Yoweri Museveni as “a pair of buttocks,” was sentenced to 18 months in August after being found guilty of cyber harassment.

The former academic fellow at Makerere University attracted the attention of authorities with bold, often profane descriptions of alleged shortcomings of the Ugandan government, including for its failure to honor a pledge to provide free sanitary pads to schoolgirls.

Amnesty International and several Ugandan rights groups had called for Nyanzi’s unconditional release. She has a loyal following among some Ugandans who believe she has been unfairly treated for openly criticizing the government.
Udikiteta wa Africa ni mbaya akiwa gerezani alianza kusifia dictetor m7nakumpa jina la 'Kaguta' moja ya watoto wake akiwa gerezani........naona dictetor kaamua achiwe kwa sababu ya kuunga juhudi za dictetor...........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom