Stempu za kodi zashuka hadi 30%

kuna kitu nilitaka niseme, ila basi, maana hamna shukran kwa mawazo mnayopewa.
 
Duuh kumbe zimeanza 24th January. Huku mtaani kwetu bado hazijafika
 
Duuh kumbe zimeanza 24th January. Huku mtaani kwetu bado hazijafika
Mdau hizi ni wale wanaoagiza au tengeneza bidhaa kama pombe na sigara ,juice,maji na filamu sasa mtaani zije stempu kufanyaje? Hawa watengenezaji wa bidhaa hizo au waagizaji toka nje ndiyo naona haswa wanazifahamu ukienda kwa Bakresa au TBL wao watakuwa wanatumia hizi.siunaona zinaitwa za kieletroniki.
 
TRA fanyeni mchakato wa kupendekeza kodi za magari kushuka maana tupo busy na baby walker kwa sababu ya kodi zenu zipo juu sana kwa magari mazuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…