Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
kuna taarifa kua wamchangani wameamua kuipokea timu ya stend na kuihudumia kwa muda wote watakapokua dar es salaam,wakizungumza na redio free mashabiki wa stend wamelalamikia kitendo hicho ambacho wanahisi ni mpango wa mikia kuhakikisha wanapata point tatu.
maoni
tff fuatilieani ishu hii kama ni kweli hatua kali zichukuliwe ikiwezekana kuifuta timu inayoitwa simba
maoni
tff fuatilieani ishu hii kama ni kweli hatua kali zichukuliwe ikiwezekana kuifuta timu inayoitwa simba