Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
kuna taarifa kua wamchangani wameamua kuipokea timu ya stend na kuihudumia kwa muda wote watakapokua dar es salaam,wakizungumza na redio free mashabiki wa stend wamelalamikia kitendo hicho ambacho wanahisi ni mpango wa mikia kuhakikisha wanapata point tatu.
maoni
tff fuatilieani ishu hii kama ni kweli hatua kali zichukuliwe ikiwezekana kuifuta timu inayoitwa simba
umeshasahu cyber crime act wewe
Simba S.C siku zote tu wakarimu sana kwa wageni wetu.
kwa hiyo mkuu mnategemea kulipwa ng'ombe(point3) kwa huo ukarim wenu kutoka kwa stand utd
Mkuu ukiacha Simba, Yanga, Azam.. Timu yenye udhamini mnono inayofuata ni Chama la Wana, Stand United.. Sidhani kama tuna ubavu wa kuwahonga.
Sisi tunaenda kushinda uwanjani, na si vinginevyo.