Stend ya daladala Mbezi Louis ifikiriwe, UBUNGO manispaa amkeni

Stend ya daladala Mbezi Louis ifikiriwe, UBUNGO manispaa amkeni

marehem x

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2022
Posts
513
Reaction score
792
Jamani ifike wakati kuwe na mapaparazi wa maeneo nyeti yenye matukio na mazingira hatarishi. Stend ya daladala ilengwe itajwe kama eneo sensitive.

Kuna msongamano mkubwa sana wa binadam. Na vyakula mbogana vitoweo vikiuzwa eneo hili ni hatari sana na magonjwa ni rahisi sana kusambazwa jiji zima la DSM.

Stend hizi za mbezi lois, stend ya gari za segerea,temeke na gongolamboto na magufuli bus terminal si eneo la kulichukulia kawaida.

Mamlaka zifanye kitu hapa.
1. Ziweke watu wa afya
2. Ziweke wanausalama.(traffic kona zote)
3. Ziweke watu uchukuzi.
4. Ziweke watu wa TISS(specific)
5. Usalama wa Raia police pande zote
6 ziweke watu wa mazingira

Soma zaidi DOKEZO - Stendi ya Daladala Mbezi iangaliwe kwa jicho pana


 
Hivo ulivyovitaja karibia vyote vipo kwenye miongozo na sheria za halmashauri, ila changamoto ni ufuatiliaji kwa mfano hilo suala la vitoweo kuuzwa kiholela ni jukumu la bwana afya kuhakikisha vinauzwa kwenye mazingira salama.

Incompetence culture ni tatizo kubwa sana Tanzania.
 
Tunapoongelea ugonjwa wa Ebola pale mbezi terminal, daladala stend haponi mtu
 
Tatizo ni umasikini wa mali na fikra wa mtanzania. Tukishuka kwa daladala pale Mbezi tunanunua vitunguu, nyanya, hoho, karoti, samaki nk kwa ajili ya kesho. Its a massive relief kwa mtu masikini.

Yale mazingira yanampa favor mtu masikini. Nenda Moskovcky Vokzal huko St. Pertersburg uone ustaarabu wa kiwango cha juu.

Umasikini...umasikini!!!
 
Tatizo ni umasikini wa mali na fikra wa mtanzania. Tukishuka kwa daladala pale Mbezi tunanunua vitunguu, nyanya, hoho, karoti, samaki nk kwa ajili ya kesho. Its a massive relief kwa mtu masikini.

Yale mazingira yanampa favor mtu masikini. Nenda Moskovcky Vokzal huko St. Pertersburg uone ustaarabu wa kiwango cha juu.

Umasikini...umasikini!!!
Tudokeze Mkuu pakoje huko.

Nnavyojua Kwa jiji kama hili maeneo ya pepembezon mwa stend pangekuwa na mini supermarket bamia,nyanya,samaki,matunda tunanunua humo, yanakuwa isolated na inzi,mavi, contamination na wapitanjia, hata ombaomba wasingekaa pale.

Lkn nothing nothing nothing

Hayo mazagazaga mtu ataenda sokoni na sio stend
 
Tatizo ni umasikini wa mali na fikra wa mtanzania. Tukishuka kwa daladala pale Mbezi tunanunua vitunguu, nyanya, hoho, karoti, samaki nk kwa ajili ya kesho. Its a massive relief kwa mtu masikini.

Yale mazingira yanampa favor mtu masikini. Nenda Moskovcky Vokzal huko St. Pertersburg uone ustaarabu wa kiwango cha juu.

Umasikini...umasikini!!!
Ndugu huyu ndugu anapendekeza ustaarabu na utaratibu, pia usafi, huko unakotaja unataka tujue ulifika huko ila tofauti ni kubwa kimazingira na usafi na utaratibu!! Hivyo unaonekana hukuiga chochote huko, achilia mbali kujifunza!!

Anyway huenda una mawazo Mazuri ila uongozi WA wilaya Ubungo kuanzia Mameya (anajishibisha TU) Mkuu WA wilaya, mkurugenzi, Mbunge, diwani, afisa biashara wote wanaonekana zero kabisa!!

Fikiria Hilo eneo Lina mfano WA soko upande WA pili standi ya mikoani (lack of creativeness) Sasa hawakujiuliza nani ananunua hoho,nyanya, pili pili kwenda nazo mkoani!??
 
Tudokeze Mkuu pakoje huko.

Nnavyojua Kwa jiji kama hili maeneo ya pepembezon mwa stend pangekuwa na mini supermarket bamia,nyanya,samaki,matunda tunanunua humo, yanakuwa isolated na inzi,mavi, contamination na wapitanjia, hata ombaomba wasingekaa pale.

Lkn nothing nothing nothing

Hayo mazagazaga mtu ataenda sokoni na sio stend
Yaani Hali inatisha hapapitiki mitaro yote imezibwa pamoja na barabara, watu wanaoza hoho juu ya matope, Naona kipindu pindua kinatuonea huruma sana!! Sisi hatutaki wafukuzwe, wafidie eneo kubwa wafanye business center, atakauekosa nafasi atakwenda pengine, huwezi kuwa na Jiji la Watu million sita bila kuweka utaratibu thabiti
 
Yaani Hali inatisha hapapitiki mitaro yote imezibwa pamoja na barabara, watu wanaoza hoho juu ya matope, Naona kipindu pindua kinatuonea huruma sana!! Sisi hatutaki wafukuzwe, wafidie eneo kubwa wafanye business center, atakauekosa nafasi atakwenda pengine, huwezi kuwa na Jiji la Watu million sita bila kuweka utaratibu thabiti
Sawa Mkwe21
 
Jamani ifike wakati kuwe na mapaparazi wa maeneo nyeti yenye matukio na mazingira hatarishi. Stend ya daladala ilengwe itajwe kama eneo sensitive.

Kuna msongamano mkubwa sana wa binadam. Na vyakula mbogana vitoweo vikiuzwa eneo hili ni hatari sana na magonjwa ni rahisi sana kusambazwa jiji zima la DSM.

Stend hizi za mbezi lois, stend ya gari za segerea,temeke na gongolamboto na magufuli bus terminal si eneo la kulichukulia kawaida.

Mamlaka zifanye kitu hapa.
1. Ziweke watu wa afya
2. Ziweke wanausalama.(traffic kona zote)
3. Ziweke watu uchukuzi.
4. Ziweke watu wa TISS(specific)
5. Usalama wa Raia police pande zote
6 ziweke watu wa mazingira

Soma zaidi DOKEZO - Stendi ya Daladala Mbezi iangaliwe kwa jicho pana


Yaani ile stendi, na metall ule uzio wa vyuma kila upande ukifika unahisi umefika "open lockup"
 
Mada nzuri ila haina uwezo wa waathirika to push back, uwoga wa kizuzu wa middle class ndio tatizo hapa,kulalama tu kwenye social media, sheria za utendaji wa miji ipo ila Tanzania ya kulalama kila mtu anafanya anavyotaka,angalia huu utitiri wa petrol stations unatisha,na mbaya zaidi kuna open spaces za kufungua petrol station na za kutengeneza public areas hakuna!
 
Tudokeze Mkuu pakoje huko.

Nnavyojua Kwa jiji kama hili maeneo ya pepembezon mwa stend pangekuwa na mini supermarket bamia,nyanya,samaki,matunda tunanunua humo, yanakuwa isolated na inzi,mavi, contamination na wapitanjia, hata ombaomba wasingekaa pale.

Lkn nothing nothing nothing

Hayo mazagazaga mtu ataenda sokoni na sio stend
Mkuu mimi nasimamia kwenye hoja ya umasikini, yote yanawezekana kama tu huu umasikini utapungua kwa kiwango kikubwa.

Mara nyingi ukipita hapo asubuhi utakuta mgambo wakifukuza watu(wafanyabiashara wadogo), then ikifika mchana wakiondoka jamaa wanarudi kutandaza biashara zao hadi usiku linakuwa soko badala ya stand.

Hoja yako ya kuwa na isolated areas kwa ajili ya hizo biashara haiwezi kufanikiwa as watu wanataka kuweka biashara zao close to people, yaani ukipita kwa mguu uguse nyanya na karoti ili ushawishike kununua...

Hatuna utamaduni mzuri, hata kama hali zetu sio nzuri, ila mindset zetu pia zinatuangusha. Nikiwekewa mini supermarkert nitahisi tu kuwa gharama ziko juu hivyo nitatafuta wanapopanga bidhaa chini nikiamini its cheaper.
 
Tatizo ni umasikini wa mali na fikra wa mtanzania. Tukishuka kwa daladala pale Mbezi tunanunua vitunguu, nyanya, hoho, karoti, samaki nk kwa ajili ya kesho. Its a massive relief kwa mtu masikini.

Yale mazingira yanampa favor mtu masikini. Nenda Moskovcky Vokzal huko St. Pertersburg uone ustaarabu wa kiwango cha juu.

Umasikini...umasikini!!!
 
Tatizo sio umaskani, tunaukosefu wa elimu na ujinga, hata jambo lilikua linakiwa liwe hivi, linaingiliwa siasa linaenda kinyume na linavyotakiwa liwepo. Tunajikuta tunaludi nyuma kila kukicha,?
 
Mkuu mimi nasimamia kwenye hoja ya umasikini, yote yanawezekana kama tu huu umasikini utapungua kwa kiwango kikubwa.

Mara nyingi ukipita hapo asubuhi utakuta mgambo wakifukuza watu(wafanyabiashara wadogo), then ikifika mchana wakiondoka jamaa wanarudi kutandaza biashara zao hadi usiku linakuwa soko badala ya stand.

Hoja yako ya kuwa na isolated areas kwa ajili ya hizo biashara haiwezi kufanikiwa as watu wanataka kuweka biashara zao close to people, yaani ukipita kwa mguu uguse nyanya na karoti ili ushawishike kununua...

Hatuna utamaduni mzuri, hata kama hali zetu sio nzuri, ila mindset zetu pia zinatuangusha. Nikiwekewa mini supermarkert nitahisi tu kuwa gharama ziko juu hivyo nitatafuta wanapopanga bidhaa chini nikiamini its cheaper.
Unachosema kina mantiki ila pia tujue uchafu Sio kitu Cha kulea, Kuna vipindu pindua, Kuna magonjwa ya kuhara na pia Kuna ustaarabu WA kawaida watu kuishi na kupata huduma iliyo Bora!! Huu umaskini hautakaa uje kuisha hata siku Moja!! Ila inabidi tujiwekee Mazingira ya kujali usafi, pia Hawa wapangaji WA bidhaa chini watengewe eneo ambalo limeandaliwa vizuri kidogo ambapo bidhaa kama za mboga mboga zinaweza kupangwa!! Kama mwanao anapenda kulia chini huwezi kumfundisha njia Bora ya kulia Kwenye meza!? Hii ni mindsets za viongozi WA kisiasa zina reflect Kwa wananchi wenye kuongozwa, atakapokuja Kiongozi mwenye msimamo fulani pia wananchi hufuata Hivyo Hivyo, Kwa mfano awamu ya Tano ilikuwa haijali utaratibu wowote na watu kuishi kistaarabu, na watu walijifanyisha hivyo hivyo!!! Vibanda kama vyoo vya asili vilijengwa katika miji yote kuitwako Tanzania
 
Tatizo sio umaskani, tunaukosefu wa elimu na ujinga, hata jambo lilikua linakiwa liwe hivi, linaingiliwa siasa linaenda kinyume na linavyotakiwa liwepo. Tunajikuta tunaludi nyuma kila kukicha,?
Kwenye siasa Nako ni professionalism, Kwa kuwa na wanasihasa wanaohitaji kuabudiwa na kusifiwa kumekuwa chanzo kikubwa Cha hili tatizo, mwanasiasa anamwelekeza mtu auze biashara hadi juu ya mtaro ili TU asifiwe na kumuibia huyu Maskini kura yake
 
Back
Top Bottom