A
Anonymous
Guest
Naomba kuwasilisha kero yangu ambayo imekuwa ya muda mrefu katika stendi kuu ya mabasi Dodoma ambapo wasafiri wanaoingia humo hulazimishwa kulipa ushuru wa halmashauri kiasi cha tshs 300/= hata kama tayari ana tiketi ya basi mkononi.
Hii ni tofauti na stendi kuu za mikoa mingine ambazo kama unakuwa na tiketi unaruhusiwa kuingia kwa vile tayari ushuru unakuwa umelipwa na basi unalosafiri nalo.
Soma Pia: Watoza ushuru stendi ya mabasi Magufuli hawatoi risiti hivyo kuikosesha mapato manispaa
Sasa watu tunajiuliza kwamba Dodoma kuna nini?
Hii ni tofauti na stendi kuu za mikoa mingine ambazo kama unakuwa na tiketi unaruhusiwa kuingia kwa vile tayari ushuru unakuwa umelipwa na basi unalosafiri nalo.
Soma Pia: Watoza ushuru stendi ya mabasi Magufuli hawatoi risiti hivyo kuikosesha mapato manispaa
Sasa watu tunajiuliza kwamba Dodoma kuna nini?