Stendi United wanataka kuhujumu mchezo wao na Kagera Sugar

Stendi United wanataka kuhujumu mchezo wao na Kagera Sugar

shabhibhii nafwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
300
Reaction score
148
Kesho jumamosi kuna mechi mbalimbali za vpl Tanzania bara. Lakini kilichonisukuma kuandika haya ni taarifa niliyopenyezewa na mtu wangu wa karibu kutoka Shinyanga kutokana na maneno yaliyozagaa. Issue yenyewe ni mpambano wa Stend untd vs Kagera fc.

Katika mpambano huo viongozi wa tff mkoa wa shinyanga wanahujumu mechi hiyo kwamba kagera apoteze ili aendelee kutumia uwanja wa ccm kambarage. Nimeambiwa kuwa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi kagera wawaachie mchezo.

Ombi langu kwa tff na jamari malinzi kuliangalia gemu hili kwa upana zaidi kwa maana hatupendi upangaji wa matokeo.
 
Ndugu yangu ukiruhusu kichwa chako kidili na tetesi utakufa na kisukari na pia utagombana na mkeo kwa maneno ya mtaani get busy sirious..kijadili tetesi za kijinga ka hizi ni kupoteza muda karatasi na mb
 
Ndugu yangu ukiruhusu kichwa chako kidili na tetesi utakufa na kisukari na pia utagombana na mkeo kwa maneno ya mtaani get busy sirious..kijadili tetesi za kijinga ka hizi ni kupoteza muda karatasi na mb

hizi siyo tetesi alafu usifananishe shida zako na za jirani utakufa unajitambua mkuu
 
Mkuu hawezi kukaa humu kujadili vitu ambavyo upenyezewa na rafiki yako.
Juzi kati walimshinda simba kwaiyo ata hapo walipanga matokeo? Jaribu kuchambua habari unazopewa na ndugu zako kabla ujazileta humu.
 
Mkuu hawezi kukaa humu kujadili vitu ambavyo upenyezewa na rafiki yako.
Juzi kati walimshinda simba kwaiyo ata hapo walipanga matokeo? Jaribu kuchambua habari unazopewa na ndugu zako kabla ujazileta humu.

lakini kama umesoma bandiko natoa tahadhari kwa tff na malinzi. ss wote ni wadau tunajenga soka la tz mkuu usipuuze taarifa hizi
 
Kesho jumamosi kuna mechi mbalimbali za vpl Tanzania bara. Lakini kilichonisukuma kuandika haya ni taarifa niliyopenyezewa na mtu wangu wa karibu kutoka Shinyanga kutokana na maneno yaliyozagaa. Issue yenyewe ni mpambano wa Stend untd vs Kagera fc.

Katika mpambano huo viongozi wa tff mkoa wa shinyanga wanahujumu mechi hiyo kwamba kagera apoteze ili aendelee kutumia uwanja wa ccm kambarage. Nimeambiwa kuwa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi kagera wawaachie mchezo.

Ombi langu kwa tff na jamari malinzi kuliangalia gemu hili kwa upana zaidi kwa maana hatupendi upangaji wa matokeo.
Ili watumie uwanja Wa kambarage kagera wanatakiwa wafungwe?wasipofungwa hawatatumia uwanja huo?unajua SBB za wao kutumia uwanja huo?so kagera akishinda atafukuzwa kutumia uwanja huo?
 
lakini kama umesoma bandiko natoa tahadhari kwa tff na malinzi. ss wote ni wadau tunajenga soka la tz mkuu usipuuze taarifa hizi

Kwa hiyo tff wachukue taadhar kwa kufanyaje sasa ,bora ungesema takukuru....uctuletee post za kitoto kama hizo,nyie ndo mnaaribu mpira wa bongo,,kipa wa mbeya city amefungiwa kutokana na watu wa aina yko
 
Ili watumie uwanja Wa kambarage kagera wanatakiwa wafungwe?wasipofungwa hawatatumia uwanja huo?unajua SBB za wao kutumia uwanja huo?so kagera akishinda atafukuzwa kutumia uwanja huo?

Harafu hii sababu mbona haiingii akililini akilini kagera wanatokea tz wana haki ya kutumia huo uwanja
 
Mngese wewe hujui unachoandika unakurupuka ka Malaya wa bakurutu kwanza Shinyanga hakuna viongozi wa TFF kuna VIONGOZI wa SHIDEFA na SHIREFA... AFU Hao viongozi hawapendi Stand Utd CHAMA la Wana sababu hatuwanyenyekei! Muulize Lugola Kwa nini alikuwa anaibeba Mwadui! Kuwafunga Simba imewauma eeeh! Na bado tutawapiga mawe! Mmeshindwa kujitetea kuhusu Mapato mechi YA Simba mmekuja na Hekaya!! Eti nyomi lote lile mnadai Ni watu 5000 tu acheni hizo... Tulisema hamkutusaidia kupanda ni Mishe zetu na juhudi zetu na tutabaki Ligi kuu kwa nguvu zetu...
na Bado Chuki zenu na Masele huko huko msituletee SIASA kwenye CHAMA la Wana Stand UTD Yes! Yes! Yes! Yes!
 
Kesho jumamosi kuna mechi mbalimbali za vpl Tanzania bara. Lakini kilichonisukuma kuandika haya ni taarifa niliyopenyezewa na mtu wangu wa karibu kutoka Shinyanga kutokana na maneno yaliyozagaa. Issue yenyewe ni mpambano wa Stend untd vs Kagera fc.

Katika mpambano huo viongozi wa tff mkoa wa shinyanga wanahujumu mechi hiyo kwamba kagera apoteze ili aendelee kutumia uwanja wa ccm kambarage. Nimeambiwa kuwa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi kagera wawaachie mchezo.

Ombi langu kwa tff na jamari malinzi kuliangalia gemu hili kwa upana zaidi kwa maana hatupendi upangaji wa matokeo.
Wewe lazima utakuwa team mikia mirefu fc, manake mnaogopa stand ikishinda kesho mtashushwa hadi nafasi yenu ya 8 na 9.
Wewe mtu usituletee post za kibwege namna hii kama hapa fb.
 
Back
Top Bottom