Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Baada ya stendi ya Buzuruga Mwanza kuhamishwa Na kuelekezwa Maeneo ya Nyamhongoro jijini Mwanza stendi hiyo ilibaki kama matumizi ya magari madogo bajaji pamoja na Dala dala katika jiji hilo
Lakini kwa sasa hali imeanza kubadilika kwa Baadhi ya wafanya Biashara kugeuza maeneo ya katikati ya stendi kuwa kama Jalala Ambapo uchafu hutupwa katika Mwa stendi hiyo ambayo kwa sasa matumizi yake yamepungua kwa Kiasi kikubwa
Tunaomba Mamlaka za serikali kuchukua hatua na kutoa muongozo juu ya wale wano fanya vitendo ambavyo havioneshi Kuto thamini Maeneo ya serikali .
Pia Tunomba serikali kutoa utaratibu maalaum Ambao utawezesha wafanyabiashara kutupa taka katika maeneo sahihi
Pia Wameliki wa biashara kupewa Elimu juu ya utunzaji bora wa mali za serikali
Lakini kwa sasa hali imeanza kubadilika kwa Baadhi ya wafanya Biashara kugeuza maeneo ya katikati ya stendi kuwa kama Jalala Ambapo uchafu hutupwa katika Mwa stendi hiyo ambayo kwa sasa matumizi yake yamepungua kwa Kiasi kikubwa
Tunaomba Mamlaka za serikali kuchukua hatua na kutoa muongozo juu ya wale wano fanya vitendo ambavyo havioneshi Kuto thamini Maeneo ya serikali .
Pia Tunomba serikali kutoa utaratibu maalaum Ambao utawezesha wafanyabiashara kutupa taka katika maeneo sahihi
Pia Wameliki wa biashara kupewa Elimu juu ya utunzaji bora wa mali za serikali