Stendi ya Mawasiliano kufungwa rasmi kupisha ujenzi wa karakana ya Mwendokasi

Stendi ya Mawasiliano kufungwa rasmi kupisha ujenzi wa karakana ya Mwendokasi

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
1726319068746.png


Kituo cha Daladala Simu2000 kimefungwa leo Septemba 14, 2024 kupisha ujenzi wa karakana ya mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi.

Karakana hiyo ni kwa ajili ya mradi wa mabasi hayo awamu ya nne. Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kupitia Mkuu wa Idara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji, Mary Mwakyosi akizungumza na Mwananchi ameeleza hayo.

Hata hivyo, Julai 13 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila alifanya mkutano na wafanyabiashara hao akawaeleza manufaa ya mradi huo, akiwaahidi watatengenezewa mazingira mazuri ya kuendelea na biashara zao wakati wa ujenzi wa mradi huo.

Awamu ya nne ya mradi huo inahusisha mabasi yatakayotoka Tegeta, Mwenge hadi Ubungo kupitia Barabara ya Sam Nujoma. Karakana hiyo inatarajiwa kukamilika ujenzi wake Machi, 2025.

Katika eneo hilo, Mwananchi imeshuhudia maandalizi ya kuifunga stendi hiyo yakiendelea. Jirani na mageti ya kuingia na kutokea daladala kumewekwa utepe mwekundu na muda mupi baada mabasi yakazuiwa kuingia ndani.
 
Kuwasumbua watu tu..
Ile katakana udart kurasini
Kapewa galco kaifanya icd
Pale stendi ya mkoa zamani ubungo ilikuwa iwe sehemu ya udart kapewa mchina
Mkaona muwafate hapo sim2000
Eneo la ttcl..
Hao wafanyabiashara wakivumbua eneo lingine mtaenda watoa pia

Ova
 
Pale wagawe, upande wawachie wapambanaji, halafu eneo lao wajenge hata parking ya gorofa tatu, halafu wafanyabiashara wapewe ramani wajenge vizuri pavutie zaidi, miradi mingi ya serikali bado wanaharibu ardhi kubwa bila sababu,
 
View attachment 3095687

Kituo cha Daladala Simu2000 kimefungwa leo Septemba 14, 2024 kupisha ujenzi wa karakana ya mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi.

Karakana hiyo ni kwa ajili ya mradi wa mabasi hayo awamu ya nne. Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kupitia Mkuu wa Idara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji, Mary Mwakyosi akizungumza na Mwananchi ameeleza hayo.

Hata hivyo, Julai 13 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila alifanya mkutano na wafanyabiashara hao akawaeleza manufaa ya mradi huo, akiwaahidi watatengenezewa mazingira mazuri ya kuendelea na biashara zao wakati wa ujenzi wa mradi huo.

Awamu ya nne ya mradi huo inahusisha mabasi yatakayotoka Tegeta, Mwenge hadi Ubungo kupitia Barabara ya Sam Nujoma. Karakana hiyo inatarajiwa kukamilika ujenzi wake Machi, 2025.

Katika eneo hilo, Mwananchi imeshuhudia maandalizi ya kuifunga stendi hiyo yakiendelea. Jirani na mageti ya kuingia na kutokea daladala kumewekwa utepe mwekundu na muda mupi baada mabasi yakazuiwa kuingia ndani.
naomba kujua je huu mradi wa kujenga hii karakana ni kampuni gani inautekeleza, nataka nikaombe kibarua. nlienda kuomba kbarua pale kwny ile kampuni inayojenga barabara ya mwendokasi ya "barabara ya nyerere/airport/ ile inayoenda hadi gongolamboto" ila nlikosa.
 
View attachment 3095687

Kituo cha Daladala Simu2000 kimefungwa leo Septemba 14, 2024 kupisha ujenzi wa karakana ya mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi.

Karakana hiyo ni kwa ajili ya mradi wa mabasi hayo awamu ya nne. Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kupitia Mkuu wa Idara ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji, Mary Mwakyosi akizungumza na Mwananchi ameeleza hayo.

Hata hivyo, Julai 13 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila alifanya mkutano na wafanyabiashara hao akawaeleza manufaa ya mradi huo, akiwaahidi watatengenezewa mazingira mazuri ya kuendelea na biashara zao wakati wa ujenzi wa mradi huo.

Awamu ya nne ya mradi huo inahusisha mabasi yatakayotoka Tegeta, Mwenge hadi Ubungo kupitia Barabara ya Sam Nujoma. Karakana hiyo inatarajiwa kukamilika ujenzi wake Machi, 2025.

Katika eneo hilo, Mwananchi imeshuhudia maandalizi ya kuifunga stendi hiyo yakiendelea. Jirani na mageti ya kuingia na kutokea daladala kumewekwa utepe mwekundu na muda mupi baada mabasi yakazuiwa kuingia ndani.
Yaani saaizi nikiona tu neno "kalakana" cha kwanza kinachonijia kichwani ni utekaji na wasiojulikana.
 
Aah subutuu nlifikiri ni Kenya kumbe Tanzania Hahaha kwa tz n sawa tu sio kwa kina genz
 
Back
Top Bottom