Wakati huu wa ukarabati stendi ya kivukoni raia wanapata tabu sana.
Haieleweki waende wapi.
Nawakuta hapa bustani ya NBC makao makuu wamejazana hapo.
Serikali iwape mbadala raia wanateseka.
Badala ya kutoa mahekari Zambia.
Angalieni raia wenu wanateketea.