Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tunzo ndo nini na wewe mwali....😃😃😃alipewa tuzo ya kuwakimbia Yanga...TFF wametenda haki!
Kwahiyo Feitoto ajapewa hata tunzo hata ya kufutia jasho?
Nimelia sanaa😂Tunzo ndo nini na wewe mwali....😃😃😃alipewa tuzo ya kuwakimbia Yanga...
Muache bana kiungo Nazi.....kiungo lazima awe na mvuto.kiungo domo kubwa chapati akunji.
Leo umenasaTFF wametenda haki!
Kwahiyo Feitoto ajapewa tunzo hata ya kufutia jasho?
Acha kelele😂Leo umenasa
Aziz K amestahili...pongezi kwake✌
Hivi hujamfata Guede kule black stars?Acha kelele😂
Mimi ni shabiki wa Guede! Popote alipo nipoHivi hujamfata Guede kule black stars?
Kuna chuma kinaitwa Duke unakijua?Mimi ni shabiki wa Guede! Popote alipo nipo
Mimi namtaka Guede..!Kuna chuma kinaitwa Duke unakijua?
kiungo lazima awe na mvuto.kiungo domo kubwa chapati akunji.