<br />mbona UDSM imekuwa gumzo wana jamii tatizo liko wapi???.......nimesoma comments za wadau wa jamii hapo juu lakini nimeshangazwa na chuo cha UDSM kimeingia vp.........Acheni asira na chuo chenu wenyewe kwani kodi zetu wananchi ndo kinaendesha kile chuo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
me nawaambia ukwel nyie mnaleta dharau,cku mkifungua chuo mkaona uzush wa pale ndo mtakumbuka maneno yangu!afu hakuna sehemu nlosifia udsm kwa hi thread so andiken v2 vya ukwel.