Stephen Curry na Lionel Messi

Alegria do povo

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
293
Reaction score
441
Ewe mpenda michezo... Kama umezaliwa kipindi hiki basi mshukuru sana Mungu, maana hakuna wakati mzuri kama kushuhudia viumbe hawa wawili wakicheza katika kipindi kimoja cha kalenda... Itachukua Karne hata tatu watu kushuhudia hili jambo tena.... Haijawahi kutokea.. Pele alikuwapo peke yake, Jordan alikuwapo peke yake.. Hawa wapo wote. Jihesabu mwenye bahati. AMINA..................................................



 

Attachments

  • CURRYM.PNG
    4.7 KB · Views: 66
  • curryt.PNG
    10 KB · Views: 72
Curry anajua ila personally namkubali le bron james... Jamaa anamikuno flan hivi balaa tupu
 
Lebron james kanyoosha mikono kwa Stephen jana kwenye twitter
 
Curry jana kafanyaje hadi Lebron anyooshe mikono?
 
duu very disappointed leo mi simkubali wala cha nini huyo Stephen curry jembe ni Russell Westbrook [HASHTAG]#gothunders[/HASHTAG]
 
Hata mi stephen curry sijui ni Hasheem Thabeet the dream
 
Picha jamani picha!
😑😑😑😑
Sina raha na habari kama hizi,kutokuona picha kunakera kinoma.
Moderator na wenzio hamulioni hili?
 
Lewis hamilton shofer huyu , messi na carry n faraja kuwaona hawa wakali wa hiki kizaz
 
Reactions: PNC
Ninayo furaha nimemshuhudia Messi akicheza na wala sijahadithiwa. Miaka mingi ijayo kama nitajaliwa pumzi na Mungu, nitawahadithia wajukuu zangu.

Basi tafuta wakati umshuhudie Stephen Curry, huyu dogo ana vitu vya ziada vingi sana. Utafurahi tu ukimuona akicheza.
Kabla ya game kuanza unaweza kumuona kama bishoo flani hivi kwa kupenda kuchezea chezea kile kikinga meno mdomoni.
Anahakikisha anakuburudisha huku naye akifurahia mchezo. Atakufanya uhisi kuwa kucheza basketball ni kazi rahisi kutokana na uchezaji wake.
Nafurahia kuwaona Curry na Messi wakicheza.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…