Stephen Wassira: Kazi ya Makamu Mwenyekiti CCM haina mshahara ni kujitolea. Hao Vijana wanaweza kufanya kazi zisizo na mishahara?

Stephen Wassira: Kazi ya Makamu Mwenyekiti CCM haina mshahara ni kujitolea. Hao Vijana wanaweza kufanya kazi zisizo na mishahara?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA?

Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili vijana wasikusumbue kabisa.

========================================

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wassira amesema ana uzoefu wa kutosha kuweza kufanya majukumu anayotakiwa kwa wakati bila kujali umri alionao, ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 80.

"Mimi hata nikiacha Umakamu Mwenyekiti vijana wangapi wataajiriwa? Alafu wataajiriwa kufanya kazi gani? Maana kazi ya Makamu Mwenyekiti kwanza haina mshahara sijui kama unajua? Sasa hao wanataka kazi isiyokuwa na mashara?"

"Hakuna mshahara kuna posho posho za kwenda Mbeya Mwanza labda. Hizo unaweza ukaajiriwa wewe ukaishi?. Sisi chama chetu ni chama cha kujitolea.Wanaolipwa ni watu wa serikali.


 
Wakuu,

Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA?

Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili vijana wasikusumbue kabisa.

========================================

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wassira amesema ana uzoefu wa kutosha kuweza kufanya majukumu anayotakiwa kwa wakati bila kujali umri alionao, ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 80.

"Mimi hata nikiacha Umakamu Mwenyekiti vijana wangapi wataajiriwa? Alafu wataajiriwa kufanya kazi gani? Maana kazi ya Makamu Mwenyekiti kwanza haina mshahara sijui kama unajua? Sasa hao wanataka kazi isiyokuwa na mashara?"

"Hakuna mshahara kuna posho posho za kwenda Mbeya Mwanza labda. Hizo unaweza ukaajiriwa wewe ukaishi?. Sisi chama chetu ni chama cha kujitolea.Wanaolipwa ni watu wa serikali.


Hizohizo posho zitawatosha,kwenda Mbeya nk
 
Wakuu,

Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA?

Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili vijana wasikusumbue kabisa.

========================================

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wassira amesema ana uzoefu wa kutosha kuweza kufanya majukumu anayotakiwa kwa wakati bila kujali umri alionao, ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 80.

"Mimi hata nikiacha Umakamu Mwenyekiti vijana wangapi wataajiriwa? Alafu wataajiriwa kufanya kazi gani? Maana kazi ya Makamu Mwenyekiti kwanza haina mshahara sijui kama unajua? Sasa hao wanataka kazi isiyokuwa na mashara?"

"Hakuna mshahara kuna posho posho za kwenda Mbeya Mwanza labda. Hizo unaweza ukaajiriwa wewe ukaishi?. Sisi chama chetu ni chama cha kujitolea.Wanaolipwa ni watu wa serikali.


Hii nyara ipuuzwe tu
 
Wasira bana, kutembelea lile li v8 new model ni posho tosha, makamu akietembelea mikoani mkoa unatetemeka kuna haja ya posho hapo 😀😀
 
Aache uongo wqke sawa halipwii kitu kinachoiitwa mshahara kila mwezi
Ila kiukwelo analipwa posho nyingi sana nyingine analipwa kila mwezi kama tu mshahaha.
1.Analipwa posho ya madaraka zaidi ya mil 10 kila mwezi.
2.Anallipwa posho ya nyumba zaidi ya million 4 kila mwezi.
3.Analipwa posho ya simu,meme,majii
Zaidi ya million 6 kila mwezi
4. Anallipwa posho ya viburudisho (entertainment allowance) zaidi ya million 4 kila mwezi.
5.kila akisafiri anahudumiwa na chama na piano analipwa posho ya zaidi yaa 5laki kwa siku.
Huyu Jamaa hizo anazoita posho anazalipwa ni zaidi ya mshahara na marupuru ya katibu wa ccm mkoa ambaye ni mwajiriwa
 
Wakuu,

Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA?

Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili vijana wasikusumbue kabisa.

========================================

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wassira amesema ana uzoefu wa kutosha kuweza kufanya majukumu anayotakiwa kwa wakati bila kujali umri alionao, ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 80.

"Mimi hata nikiacha Umakamu Mwenyekiti vijana wangapi wataajiriwa? Alafu wataajiriwa kufanya kazi gani? Maana kazi ya Makamu Mwenyekiti kwanza haina mshahara sijui kama unajua? Sasa hao wanataka kazi isiyokuwa na mashara?"

"Hakuna mshahara kuna posho posho za kwenda Mbeya Mwanza labda. Hizo unaweza ukaajiriwa wewe ukaishi?. Sisi chama chetu ni chama cha kujitolea.Wanaolipwa ni watu wa serikali.


Posho Ndiyo mshahara wenyewe aseme posho ni kiasi gani, kikikiki
 
Wakuu,

Kumbe watanzania mnasakama mzee wa watu kuwa anachukua nafasi za vijana meanwhile kumbe hata halipwi mshahara na ANAJITOLEA?

Tungependa pia kujua hizo posho ni shingapi mzee Wassira ili vijana wasikusumbue kabisa.

========================================

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wassira amesema ana uzoefu wa kutosha kuweza kufanya majukumu anayotakiwa kwa wakati bila kujali umri alionao, ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 80.

"Mimi hata nikiacha Umakamu Mwenyekiti vijana wangapi wataajiriwa? Alafu wataajiriwa kufanya kazi gani? Maana kazi ya Makamu Mwenyekiti kwanza haina mshahara sijui kama unajua? Sasa hao wanataka kazi isiyokuwa na mashara?"

"Hakuna mshahara kuna posho posho za kwenda Mbeya Mwanza labda. Hizo unaweza ukaajiriwa wewe ukaishi?. Sisi chama chetu ni chama cha kujitolea.Wanaolipwa ni watu wa serikali.


Kweli CCM ni baba wa uongo.
Baba wa uongo ni shetani.
Kwa nini hawa CCM wanataka uongo uwe sehemu ya maisha ya Watanzania!!!??
Mzee wa miaka 80 anakuwa muongo badala ya kuishi katika haki na amani ya kweli!!??
 
Aache uongo wqke sawa halipwii kitu kinachoiitwa mshahara kila mwezi
Ila kiukwelo analipwa posho nyingi sana nyingine analipwa kila mwezi kama tu mshahaha.
1.Analipwa posho ya madaraka zaidi ya mil 10 kila mwezi.
2.Anallipwa posho ya nyumba zaidi ya million 4 kila mwezi.
3.Analipwa posho ya simu,meme,majii
Zaidi ya million 6 kila mwezi
4. Anallipwa posho ya viburudisho (entertainment allowance) zaidi ya million 4 kila mwezi.
5.kila akisafiri anahudumiwa na chama na piano analipwa posho ya zaidi yaa 5laki kwa siku.
Huyu Jamaa hizo anazoita posho anazalipwa ni zaidi ya mshahara na marupuru ya katibu wa ccm mkoa ambaye ni mwajiriwa
Bado Anaona Yupo Sahihi Kuusema Huu Uongo Hadharani Wakati Analipwa Cash Ndefu
 
Back
Top Bottom