Hiyo ndo nilishampa kama homework,nasubiria majibu nadhani itakua nzuri zaidi!.Yeye (mchumba) mwenyewe pia anaweza kukusaidia. akaulizie kwa ndugu jamaa na marafiki watamwelekeza mambo yanakuwaje kwa mila za kabila lao. na pia nadhani inatofautiana kati ya ukoo na ukoo. Mimi kwa mfano husband tunatoka kabila moja lakini mambo ya posa kwa ukoo wetu ni tofauti kidogo na kwao. so, mimi nilimwuliza bibi, akanitajia mtiririko wote, nikaenda kumdesesha
bwananyie mnaleta complication za ajabu .kwetu sisi wachaga huwa tunamchukua mwamnamke tunamweka ndania asubuhi mzee anaamka na mbuzi anapeleka kwa wakwe ngomo inaishia hapo unakuwa tayari umeshaoa
Ndoa sio kanisani wewee!!.....ina maana unataka kufuata mlolongo wa mila sijui madudu gani ili uende kanisani au ili uingie kwenye ndoa?Du!! Mkuu hiyo sidhani kama inawezekana kwangu,Kwani nataka Ndoa ya kanisani!
Etieee!! ...siku hizi watu hawabebi begani wakati wa sikukuu za xmas kama zamani bana!kijana uchaga wa kizamani huo.
Du!! Mkuu hiyo sidhani kama inawezekana kwangu,Kwani nataka Ndoa ya kanisani!
Ndoa sio kanisani wewee!!.....ina maana unataka kufuata mlolongo wa mila sijui madudu gani ili uende kanisani au ili uingie kwenye ndoa?
tafuta mshengaWadau naombeni mnijuze steps zinazofaa unapoanza Mahusiano na mtu ambaye mmekutana katoka mikoa Tofauti,yaani mfano mmoja anatokea Mwanza na Wewe kwenu ni Arusha halafu mmekutana Dar Mkapendana!.Mnaanza upande gani kutambulishana?
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!
Wadau naombeni mnijuze steps zinazofaa unapoanza Mahusiano na mtu ambaye mmekutana katoka mikoa Tofauti,yaani mfano mmoja anatokea Mwanza na Wewe kwenu ni Arusha halafu mmekutana Dar Mkapendana!.Mnaanza upande gani kutambulishana?
Pia ningependa ufafanuzi kidogo juu ya POSA,posa ni nini? Ni vitu gani vinawekwa kwenye posa na ni nani anaruhusiwa kupeleka Posa,maneno gani husemwa wakati wa kutoa posa?.
Ntashukuru kwa maelezo yenu!
Asanteni!