Steve Bruce wa Newcastle United afungashiwa virago

Quality ya timu ni championship ameibakiza prem misimu mitatu, anastahili kiinua mgongo cha kutosha.
 
Kuna Manyumbu hawajielew bado wapo tu na Ole mmasai
 
Wamiliki wapya wa timu ya Newcastle United wameamua kupata changamoto mpya ya kocha ili kwenda na kasi yao mpya .

Mkataba wa Kocha Steve Bruce umesitishwa rasmi leo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Uyo kaamua kuchukua mabegi yake mwenyewe willingly kabla ya nyundo kumshukia ko mda huu yupo anakusanya zake miswaki na sabuni
 
Masheikh wameamua[emoji16][emoji16].
Kabla ya kuingia uwanjani swalaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…