Pre GE2025 Steve Nyerere akusanya wasanii na viongozi wa dini kugawa mitungi bure kwa wakina mama ili "kuunga mkono juhudi" za Samia

Pre GE2025 Steve Nyerere akusanya wasanii na viongozi wa dini kugawa mitungi bure kwa wakina mama ili "kuunga mkono juhudi" za Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Baada ya kuona video hii ya wasanii kukusanywa kama watoto wa shule ya msingi kwenye event maalum ya kugawa mitungi kwa wakina mama, nimepata maswali mengi

Hivi kwanini CCM siku hizi hawawezi kufanya mambo yao bila kuhusisha wasanii?

Yaani CCM siku hizi hata wakienda kuzindua ukuta wa nyumba lazima wawabebe hawa Bongo Movie kwa ajili ya kufanikisha jambo lao?

Hii mitungi isingeweza kusambazwa bila kutumia wasanii?

Hiyo "taasisi" ya "Mama Ongea Na Mwanao" inahusikaje na suala la mitungi ya gesi?


 
Naona anamtafutia maza waganga wa kienyeji wazuri, ndiyo maana yeye na maza wana heshimiana sn
 
Hata wakienda kuzindua ukuta wa nyumba😁😁😁😁
 
Yule mwingine alikuwa haendekezi ujinga ela zikapotea mitaani mkalalamika sana, huyu wa sasa anaendekeza ujinga ela zimezagaa mtàani bado mnalalamika.., hivi huwa watanzania mnataka nini!???..
 
Haya ndio maajabu stive ni rahisi kuonana na chura ila waziri wa wizara sio rahisi kuonana na CHURA. Hii ndio Tanganyika.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Baada ya kuona video hii ya wasanii kukusanywa kama watoto wa shule ya msingi kwenye event maalum ya kugawa mitungi kwa wakina mama, nimepata maswali mengi

Hivi kwanini CCM siku hizi hawawezi kufanya mambo yao bila kuhusisha wasanii?

Yaani CCM siku hizi hata wakienda kuzindua ukuta wa nyumba lazima wawabebe hawa Bongo Movie kwa ajili ya kufanikisha jambo lao?

Hii mitungi isingeweza kusambazwa bila kutumia wasanii?

Hiyo "taasisi" ya "Mama Ongea Na Mwanao" inahusikaje na suala la mitungi ya gesi?


Kwani wasanii hawaruhusiwi kujiunga na vyama vya siasa? Au kwakuwa upande mwingine hakuna wasanii "wa kutosha" ndio maana mnawaonea wivu CCM?
 
Kwani wasanii hawaruhusiwi kujiunga na vyama vya siasa? Au kwakuwa upande mwingine hakuna wasanii "wa kutosha" ndio maana mnawaonea wivu CCM?

Kulikuwa na haja gani ya kuwaita wasanii kugawa mitungi?

Hiyo mitungi ilikuwa haiwezi kufika hadi hao waganga njaa waje kugawa?
 
Unateseka ukiwa wapi huko na wivu wako kusiko na Sumu ili unywe na Kufa kabisa. Wasanii nao ni wanachama wetu hai wa CCM na ndio maana wanashiriki katika shughuli na matukio mbalimbali ya chama chetu cha mapinduzi CCM .
 
Kulikuwa na haja gani ya kuwaita wasanii kugawa mitungi?

Hiyo mitungi ilikuwa hadi hao waganga njaa waje kugawa?
Ili jambo linoge inatafutwa namna bora ya kuli popularize. Na CCM imeona iwatumie Wanachama wake ambao ni wasanii.
 
Baada ya kuona video hii ya wasanii kukusanywa kama watoto wa shule ya msingi kwenye event maalum ya kugawa mitungi kwa wakina mama, nimepata maswali mengi

Hivi kwanini CCM siku hizi hawawezi kufanya mambo yao bila kuhusisha wasanii?

Yaani CCM siku hizi hata wakienda kuzindua ukuta wa nyumba lazima wawabebe hawa Bongo Movie kwa ajili ya kufanikisha jambo lao?

Hii mitungi isingeweza kusambazwa bila kutumia wasanii?

Hiyo "taasisi" ya "Mama Ongea Na Mwanao" inahusikaje na suala la mitungi ya gesi?


Hela za kufanya matamasha Huwa zipo tu. Jaribu Sasa zile za mambo ya msingi. Utaambiwa, hizo ni mchakato.
 
Unateseka ukiwa wapi huko na wivu wako kusiko na Sumu ili unywe na Kufa kabisa. Wasanii nao ni wanachama wetu hai wa CCM na ndio maana wanashiriki katika shughuli na matukio mbalimbali ya chama chetu cha mapinduzi CCM .

Kwa taarifa yako hao wasanii sio kwamba wanakupendeni ni wanapenda tu HELA zenu.

Unajidanganya sana kama unadhani wasanii wanaipenda CCM, wasanii wanataka hela.

Fuatilia interview ya Marioo baada ya ku-perform kwenye mkutano mkuu wa CCM alafu urudi hapa.

Na kwani CCM haina madaktari? Kwanini msingeita madokta kugawa mitungi?
 
Yule mwingine alikuwa haendekezi ujinga ela zikapotea mitaani mkalalamika sana, huyu wa sasa anaendekeza ujinga ela zimezagaa mtàani bado mnalalamika.., hivi huwa watanzania mnataka nini!???..
Hawana tofauti sana mikutani kujaa wasanii kwa kiwango kikubwa ilianza zama zake. Alipoingia alitangaza kuwa wasanii watakuwa hawahitajiki tena wao watatumua band za ccm. Baadaye akapiga uturn
 
Ili jambo linoge inatafutwa namna bora ya kuli popularize. Na CCM imeona iwatumie Wanachama wake ambao ni wasanii.

Wasanii they will drop CCM like a bad habit siku mkipoteza dola umaarufu.

Na hapo una-prove kwamba lengo lilikuwa ni kutafuta umaarufu sio kugawa mitungi ili msaidie wananchi.

Hizo zote ni dalili za chama ambacho kinapumulia mirija
 
Wasanii they will drop CCM like a bad habit siku mkipoteza dola umaarufu.

Na hapo una-prove kwamba lengo lilikuwa ni kutafuta umaarufu sio kugawa mitungi ili msaidie wananchi.

Hizo zote ni dalili za chama ambacho kinapumulia mirija
Hakuna chama cha siasa ambacho hakitafuti umaarufu unless uwe hujui maana ya umaarufu wa kisiasa. Unaijua?
 
Back
Top Bottom