Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
"Bilnass hawezi kufanana na mimi, mara ya kwanza kusikia jina hilo nilijua ni mabasi mapya ya Mtwara. Hawezi kujiita staa wakati hata Kibaha hajulikani, yeye atulie tu kukiwa na 'birthday' za wanangu nyumbani aje aimbe nimpe elfu hamsini"- Steve Nyerere.