Kumbe ukiachana na kipaji chake cha kulia kwenye misiba isiyomuhusu kumbe pia ana kipaji cha mipasho,aimbe taarabu.kama ni kweli basi Steve ni shidaaaaaa,et mara yake ya kwanza kusikia billnas alijua ni kampuni mpya ya mabasi ya mtwara????hahahahahaaaaa,kweli dar nenda na nguo tu,tabia utazikuta hukohuko
Na kumbe ana watoto!Kumbe ukiachana na kipaji chake cha kulia kwenye misiba isiyomuhusu kumbe pia ana kipaji cha mipasho,aimbe taarabu.
Acha ku generalize watu mkuu. Kuna watu ni wafupi hatuna muda wa kubishana. Na ni wastaarabu vizuri tu.Watu wafupi akili zao zipo karibu na mavi
hata wanavyofikiria utashangaa
wakiongea kama wanaharisha
anachowaza ni hela za rambi rambi tu