mwambie hata hata hapo kenya wanamjua kama sisi tunavyo mjua omondiNdio tatizo la wasanii wetu..
Eric Omondi kesha prove kwenye nchi mbali mbali Kama anajua..
Ni Top ten Stand up comedy in Africa..
Yeye Mwenyewe kazi yake kuiga sauti za viongozi na ujanja ujanja.
Steve acha hizo.subiri kampeni za ccm 2020Huyo Omondi hajawah kunichekesha, Tz huwa ananichekesha Majuto tu
4.Professor Hamo1. ERIC OMONDI
2. KANSIIME
3. TEACHER MPAMIRE
Hawa ndio wachekeshaji wa afrika mashariki hutaki jinyonge. Bongo tuna wapigakelele tuu
Tatizo ana akili za panya.....na wivu umemjaa m***aeMwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji.