I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
"Sijiuzulu na wala sitoki, nina nia ya kuendeleza industry (tasnia ya muziki) ya nchi hii.
Amesema hayo Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT); Steven Nyerere, akiwajibu watu waliomtaka ajiuzulu kwa kuwa nafasi hiyo hastaili kuwepo.
Aidha, Steve Nyerere ameongeza kwamba uteuzi wake ukitenguliwa atakwenda mahakamani.
Source: https://t.co/KxVwM3sSSg
Amesema hayo Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT); Steven Nyerere, akiwajibu watu waliomtaka ajiuzulu kwa kuwa nafasi hiyo hastaili kuwepo.
Aidha, Steve Nyerere ameongeza kwamba uteuzi wake ukitenguliwa atakwenda mahakamani.
Source: https://t.co/KxVwM3sSSg