Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Mar 17, 2023 #1 "Siku hadi siku Wachungaji wanamiminika, najiuliza hivi imekuwa ni biashara? Na kama ni biashara wanadhani kufanya mzaha na hisia za watu wanaomtafuta Mungu kwa gharama yoyote wanawatendea haki?"- Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
"Siku hadi siku Wachungaji wanamiminika, najiuliza hivi imekuwa ni biashara? Na kama ni biashara wanadhani kufanya mzaha na hisia za watu wanaomtafuta Mungu kwa gharama yoyote wanawatendea haki?"- Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Mar 17, 2023 #2 [emoji23][emoji23]
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Mar 17, 2023 #3 Wanahubiri michango, sadaka na kuuza vya upako.
S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Mar 17, 2023 #4 Ukitaka pesa bila jasho fungua kanisa au kuwa mganga
Chillah JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 8,870 Reaction score 10,066 Mar 17, 2023 #5 Yeye ana subiri nini kuanzisha kanisa? Watu walimiminika kuutafuta ubunge na sasa wana utafuta uchungaji Hakuna atakaye baki nyuma, kama ana taka afungue lq kwake pia... aliite bongo muvi full gospal church
Yeye ana subiri nini kuanzisha kanisa? Watu walimiminika kuutafuta ubunge na sasa wana utafuta uchungaji Hakuna atakaye baki nyuma, kama ana taka afungue lq kwake pia... aliite bongo muvi full gospal church
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,289 Reaction score 46,624 Mar 17, 2023 #6 That one day in a Year ambayo Steve anakuwa na akili timamu.
S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Mar 17, 2023 #7 Mc pilipili ana kanisa, masanja ana kanisa, ye anasubiria nini
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Mar 17, 2023 #8 Huyu huyu Steve , alikua bado hajauloweka ubongo na K-vant kubwa ile
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 18, 2023 #9 Ndiyo, ni biashara...
K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 7,452 Reaction score 10,785 Mar 18, 2023 #10 Tangu ulimwengu uanze halijawahi kutoka kanisa la Mungu, ni makanisa ya watu.