Nyani, kweli Mashaka mfupi khaa, kama Chiluba vile na anajipamba si kawaida. Na ile miwani yake na Kipara kama cha R. Kelly, loohh.
watakuwa warefu hawa bwana!we CarthberthL niaje?unafanya gani bana?Mmh, we Sikonge na NN ingekuwa vizuri sana tuka waona mlivyo maana kwa kuongoza kwa kuwakashifu wengine.
Mmh, we Sikonge na NN ingekuwa vizuri sana tuka waona mlivyo maana kwa kuongoza kwa kuwakashifu wengine.
Picha yako nzuri kweliWataka kuona urefu wangu, hamna taabu ila sura huoni.
Kumbuka kuwa siye ni Ngosha na kupanda juu ni kama kazi..... Ahhh, urefu ni 185cm. Kidogo hizo?
kweli lugha ni muhimu ila kumzodoa kanumba sio haki kwani humu katika wachangiajia wa jamii ni wangapia ambao mnaweza kuongea kiingereza fasaha? acheni mazingira yetu tuliyokulia ni ya lgha ya kisahili hivyo ni vyema tukaendelea kukienzi kiswahili kiingereza iwe ziada tatizo la wabongo wengi mtu akiongea kiingereza ndio mwamuona kasomasana wamaana sana na hata katika ofisi zetu nyingi kama unamwanao anajua kiingereza anaweza kupewa kazi ya maana hata kama kichwano bogasi kuweni waangalifu kiingereza sio ishu katika ulimwenmgu huuu madaktari wangapi wa kichina mmeshakutanaoa nao hawajui kiingereza sasa hoaja sio kanumba bali ni mfumu wa shule zetu waambieni wabadilishe kabisa mitalaa ya kiswahili iwe ya kiingereza lakini kuumbukeni huo utakuwa ni ukoloni tu
Picha yako nzuri kweli
JF kuna vituko...
Acheni kuchanganya mambo. Ninapokuwa na wabongo wenzangu, namwaga sana kiswahili, nikienda pale uyui huwa nachanganya hata na kinyamwezi, lakini nikiwa kwa Obama kibaruani ninamwaga kimombo tu; kwa hiyo inategemea na jinsi unavyooanisha mazingira na lugha.
Mkuu,
Ukifika Uyui isikose kufika na kumsalimia baba mdogo, ambaye zamani alikuwa bwana Shamba, nafikiri sasa kastaafu nan anakwenda kwa jina la Mwana Kisiwa (Mwana Kisiva). Sijawahi kufika huko maana alihamia ila itabidi kujipanga na kwenda na siku hizi mabasi ni kila sehemu. Ukiwa Tabora kuna mabasi hadi ya Bujumbura. Loohh....
Kijana wetu Kanumba yeye asikae na kulialia. Nakumbuka mwana JF mmoja na kama sikosei Masanja alisema "ukipigwa ngwala ukaanguka, si kosa lako. Ukiendelea kulala hapo ardhini ni kosa lako". Yeye ajisomeshe tu kwani hakuna HASARA ya kufahamu Kiingereza. Ila faida ya kufahamu Kiingereza zinaweza kuwepo nyingi tu.
sio kila ngosha ni tall, kuna wengine vijeba haswa wale wakutoka Shinyanga.
Wataka kuona urefu wangu, hamna taabu ila sura huoni.
Kumbuka kuwa siye ni Ngosha na kupanda juu ni kama kazi..... Ahhh, urefu ni 185cm. Kidogo hizo?
Semilong,
Hiyo ni picha yangu kweli. Ila nimepulizia rangi usoni kwa makusudi ili kuficha sura yangu. Kijana alitaka kuona urefu wangu na nimemtumia picha aone mwenyewe na sikutaka kuonyesha sura, kwa makusudi nimepulizia rangi kwenye photoshop.