Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Ndio maana halisi ya usanii....kama sungura sunguraHaka kajamaa kanatumika hadi kanajikuta kanajitumia kenyewe
Hapana haka kajamaa ni zaidi ya msaniiNdio maana halisi ya usanii....kama sungura sungura
kweli hakukuwa na impact na waandishi wamemdharau sana Yaani asubuhi kakusanya waandishi akalia lakini asubuhi yake waandishi hao hao wakaacha kumuandika aliyewaita wakamuandika aliyeenda uwanjani asubuhiHapo ni kwamba aliambiwa wewe nenda, ongea nao, malipo iachie ofisi itashughulikia, Sasa ofisi imeamua kupotezea maana haijaona impact ya mkutano ule, kwa lugha nyepesi niiii, KATUMIKA.