Aliyasema hao Mhe Steven Wassira katika kipindi cha Jambo cha TBC kwamba kinataka kufichwa nini wakati wananchi, jamii au kundi unaowawakilisha wana haki ya kufahamu kuwa walichotutuma ndicho ulichotekeleza.
Alisema Aidha kuna masuala ya msingi na nyeti ya kutolewa maamuzi zaidi ya suala la muungano
kama vile yale masuala yanayomgusa mwananchi moja kwa moja sasa haya nayo tunataka kuwaficha nini wananchi wanahaki ya kujua tunawawakilisha vipi
Alisema Aidha kuna masuala ya msingi na nyeti ya kutolewa maamuzi zaidi ya suala la muungano
kama vile yale masuala yanayomgusa mwananchi moja kwa moja sasa haya nayo tunataka kuwaficha nini wananchi wanahaki ya kujua tunawawakilisha vipi