Aliyasema hao Mhe Steven Wassira katika kipindi cha Jambo cha TBC kwamba kinataka kufichwa nini wakati wananchi, jamii au kundi unaowawakilisha wana haki ya kufahamu kuwa walichotutuma ndicho ulichotekeleza.
Alisema "Aidha kuna masuala ya msingi na nyeti ya kutolewa maamuzi zaidi ya suala la muungano
kama vile yale masuala yanayomgusa mwananchi moja kwa moja sasa haya nayo tunataka kuwaficha nini wananchi wanahaki ya kujua tunawawakilisha vipi"
Hilo nalo neno tukiamua kura ya siri ina maana likija suala la ushoga kwa nini tujifiche kuamua? tusiangalie muundo wa muungano tu.
Alisema "Aidha kuna masuala ya msingi na nyeti ya kutolewa maamuzi zaidi ya suala la muungano
kama vile yale masuala yanayomgusa mwananchi moja kwa moja sasa haya nayo tunataka kuwaficha nini wananchi wanahaki ya kujua tunawawakilisha vipi"
Aliyasema hao Mhe Steven Wassira katika kipindi cha Jambo cha TBC kwamba kinataka kufichwa nini wakati wananchi, jamii au kundi unaowawakilisha wana haki ya kufahamu kuwa walichotutuma ndicho ulichotekeleza.
Alisema "Aidha kuna masuala ya msingi na nyeti ya kutolewa maamuzi zaidi ya suala la muungano
kama vile yale masuala yanayomgusa mwananchi moja kwa moja sasa haya nayo tunataka kuwaficha nini wananchi wanahaki ya kujua tunawawakilisha vipi"
Ningalikuwa ndio huyo mwandishi wa habari ningalimwuliza kama mambo hadharani mbona wamepinga suala la waaandishi wa habari kuingia kwenye vikkao vya kamati? Lakini umesema ni TBC najua hawana guts za kuuliza maswali kama hayo.