Mbona traffic wanazo nyingi tu barabarani kama hutaki usumbufu lipa elfu then unapewaHabari wadau, anayeweza kunisaidia nikapata stika ya 'nenda kwa usalama barabarani' chapchap aniPM.
Faida ya kuwapa elfu ni kwamba hakutakuwa na usumbufu wa kuhitaji gari lako likaguliweMara ya mwisho(mwaka jana).Traffic walinitoza faini 30,000 ndo wakaniuzia stika kwa 5000 aisee
zipo ila inabidi gari yako ikaguliwe upo tayari kukaguliwa nitakufata ulipo ,nitakuja na stikaHabari wadau, anayeweza kunisaidia nikapata stika ya 'nenda kwa usalama barabarani' chapchap aniPM.
MKUU kama uko Dar nenda pale kituo cha daradara cha mawasiliano Trafic mule ndani utapata chapchapHabari wadau, anayeweza kunisaidia nikapata stika ya 'nenda kwa usalama barabarani' chapchap aniPM.
utasaidiwa kaka nime pmNipo tayari, nimekuPm
Elfu 5 tu hawana hata complication kabisa, utaipata ndani ya dk 5 tuShukrani, ngoja niende pale. Gharama shingapi?