bado ushuru wa kila tuingiapo kituo cha mafuta, maama serikali sasa inajiendesha kisanii, kila anyefikiria la kwake analipitisha bungeni halafu wanabariki, ili posho zao zipande kwa kila kikao. Ilianza kubadili plate numbe- ikazaa Road license tunayokamuliwa kila mwaka, ikaja fire extinguisher, stika zake bado tutadaiwa stika za triangle na spanner na jeki, ili ukibandika tunajua hivyo vitu unavyo kwenye gari.
Kama sina fire extinguisher, gari likiripuka ni langu halimhusu mtu