Sijui ni ujinga au ni kitu gani.
Kama wananua gari moja cash kwa ajili ya RC, DC, RAS,DAS na makada wengine wa Lumumba $30,000 likifika bado kuna pesa ya service na mafuta huku kuna watu bado vijijini huko wanakunywa maji kutoka chanzo kimoja na mifugo yao , wanafunzi hawana mahali pa kukaa darasani, wengine hawatoshi darasani ,miundombinu ya barabara bado mbovu ila kwenye tafrija, warsha na mikutano watu wanakuja wamependeza kujadili vitu visivyo na tija lazima ujiulize kama kuna viongozi timamu.