Duhh,hapondio huwa naona kuagiza gari nje ni tatizo kama hujajipanga.
Halafu mbali na hasara hiyo pia wizi ni mkubwa sana.
Juzi nimesafirisha Carry kutoka hapa tu Zanzibar kuja Dar,yaani niliambiwa nitoe vyote vinavyototoka,basi hatimae wameiba Mfuniko wa Tank ya mafuta.aahhh.
Sasa hiyo iliyokaa mwezi,Radio,Power Windows,Battery,Mirrors,Spare tire,sijui kama zipi salama.Pia nenda na fundi aanglie Engine,kabla ya mwakyembe kusafisha pale kulikuwa na mradi wa wakubwa,unabadilishwa hadi Engine pale.
Ndio maana baadhi ya watu gari ikifika tu anaitoa au ikimshinda anaiuza pale pale kwa Madalali