kama unapenda wajue profile yako jichanganye vijiwe vya kahawa.
VIjiwe vya kahawa vina habari zote kuanzia kitaifa,kimataifa,hali ya hwa,uchawi,ushauri,nasahaa,waliofulia,kazi,michongo na n.k
TATIZO LA KIJIWE CHA KAHAWA:
*LAZIMA KUWE NA MJUAJI
hapa kuna yule mjuaji wa vyote au mjuaji jambo moja kama ni michezo,habari,dini,siasa,madawa,umri kwenda na n.k
*WASTAAFU NA WAZEE
kahawa ni kijiwe pendwa sana cha wazee wakijadili uzee wao.
*SIASA NA SIRI NYINGI
vijiwe vingi vinajua siasa ukiachana na vijiwe vingine na vijiwe vya kahawa vina wafuasi wengi wakila nyanja.ndio maana mambo yote yanaanza vijiwe vya kahawa.
*UONGO NA KUAMINISHA
ukiwa na akili fupi kijiwe cha kahawa wanakupoteza kwa story zao na mambo yao.
*KIJIWE CHA FITINA NA KUJUWA WATU
ukitaka kujua leo nani kafulia,nyumba inauzwa,kafumaniwa,malaya,mwizi,mchawi na n.k vyote utapata kijiweni.
*WALONZI NI WENGI
kijiweni kuna walonzi na watu ambao wamejichoka au chuki yani unatakiwa ufanane nao sio kujionesha utoboi.
*KIKOMBE CHA KAHAWA AKIWEZI KUKUAMSHA KIMAENDELEO
vijiweni walizikaji ni wengi yani ukipata buku basi ufikirii tena na ndio maana majobless na wasiotaka kazi wapo hapo.
*DAWA ZA MITISHAMBA KIJIWENI NDIO SEHEMU YAKE
mimi mwenyewe vumbi la kongo nimelijua kijiwe cha kahawa.ukiumwa usitegemee wakwambie twende hospitali bali utaambiwa miti shamba
wenye kuongeza