Stori za mchongo/chai huku MMU za nini sasa?

Stori za mchongo/chai huku MMU za nini sasa?

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Wakuu,

Mtu umechoka, unaingia jukwaa la MMU ili angalau upate auheni na kujifariji baada ya uchovu wa siku, lahaulaa!!! Unakuta story yenye tittle nzuri kabisa kumbe ni chaiii.....daah inakera big time yaani...achenii

Wengi tuliopo kwenye jukwaa hili tuna malengo tofauti Kama; kujifunza, kuelimika, kuburudika, kuhuzunika, kutoa ushari n.k ...Rai yangu tujifunze kuandika uhalisia ili iwe rahisi mtu kupata kitu na sio kuandika utoto usio na manufaa yoyote
 
FB_IMG_1719557793598.jpg
 
Wengi tuliopo kwenye jukwaa hili tuna malengo tofauti Kama; kujifunza, kuelimika, kuburudika, kuhuzunika, kutoa ushari n.k ...Rai yangu tujifunze kuandika uhalisia ili iwe rahisi mtu kupata kitu na sio kuandika utoto usio na manufaa yoyote

Moja ya sifa kuu ya chai ni kuburudisha
Yani chai nyingi zinachekesha....si bado tupo ndani ya lengo la MMU?
 
Back
Top Bottom