Stori za Waafrika na vitu tunavopambana navyo kwa jicho la tatu

Stori za Waafrika na vitu tunavopambana navyo kwa jicho la tatu

wazanaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
1,092
Reaction score
808
Aina za ugomvi kwa Afrika

1. Kuna ugomvi mkali sana kati ya nchi kubwa (super power) ex. China vs Europe kuigombania Africa
2. Kuna ugomvi mkubwa wa ndani ya nchi kati ya puppets wa mabeberu na wazalendo
3. Kuna ugomvi mkubwa sana kati ya wanaofaidika na uongozi na ambao hawafaidiki na uongozi uliopo (hapa haiusiani na wazalendo vs puppets).

Haya maugomvi usipokua makini, unaweza ukachanganya who is who. Ni kama vita ya nyani, swala, na simba kwa wakati mmoja.

Kwa wale wazalendo akiwemo raisi wetu, inatakiwa tuwe makini na hawa soldiers tofauti tofauti.
 
Ugomvi wa nyani, swala na simba ukoje ?
 
Miaka 50 mbele Africa itakua na nafasi ya kipekee katika maendeleo ya dunia.
Japo tutakuwa tumechelewa lakini sio Sana kwa sababu hao walio washindani wetu kwa Sasa watakua wameishiwa nguvu.
Kwa hivyo haya yooote yanayotokea Africa Ni kwa sababu ya hio nafasi tutakayo kua nayo.

Siku zote mwanafunzi anakuwa mwanafunzi tu, lakini wakati fulani nae huwa Ni Mwalimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aina za ugomvi kwa Afrika

1. Kuna ugomvi mkali sana kati ya nchi kubwa (super power) ex. China vs Europe kuigombania Africa
2. Kuna ugomvi mkubwa wa ndani ya nchi kati ya puppets wa mabeberu na wazalendo
3. Kuna ugomvi mkubwa sana kati ya wanaofaidika na uongozi na ambao hawafaidiki na uongozi uliopo (hapa haiusiani na wazalendo vs puppets).

Haya maugomvi usipokua makini, unaweza ukachanganya who is who. Ni kama vita ya nyani, swala, na simba kwa wakati mmoja.

Kwa wale wazalendo akiwemo raisi wetu, inatakiwa tuwe makini na hawa soldiers tofauti tofauti.
Pia kuna ugomvi kati ya wazalendo kwa wazalendo. Hii inatokana mzalendo mmoja kujiona anaweza kukomboa watanzania kuliko mwenzake. Mwisho wa siku situation inakua like
Mzalendo 1: mi naweza na ninajua kuliko ww
Mzalendo 2: we hujui mi ndo naweza kuliko ww

Mwisho wa siku mnapigana. Lakini wote mlikua na lengo moja la kukomboa jamii
 
Ko
Miaka 50 mbele Africa itakua na nafasi ya kipekee katika maendeleo ya dunia.
Japo tutakuwa tumechelewa lakini sio Sana kwa sababu hao walio washindani wetu kwa Sasa watakua wameishiwa nguvu.
Kwa hivyo haya yooote yanayotokea Africa Ni kwa sababu ya hio nafasi tutakayo kua nayo.

Siku zote mwanafunzi anakuwa mwanafunzi tu, lakini wakati fulani nae huwa Ni Mwalimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta
 
Miaka 50 mbele Africa itakua na nafasi ya kipekee katika maendeleo ya dunia.
Japo tutakuwa tumechelewa lakini sio Sana kwa sababu hao walio washindani wetu kwa Sasa watakua wameishiwa nguvu.
Kwa hivyo haya yooote yanayotokea Africa Ni kwa sababu ya hio nafasi tutakayo kua nayo.

Siku zote mwanafunzi anakuwa mwanafunzi tu, lakini wakati fulani nae huwa Ni Mwalimu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa kizazi hiki tulicho nacho sahau kuhusu hilo labda kama tutabaki wenyewe humu duniani.
 
Back
Top Bottom