Palyenda Lyende
New Member
- Jun 20, 2024
- 1
- 0
Tanzania pamekuwa na ubadhilifu wa mali za Umma Kila siku lakini hakuna uwajibishwaji wa wale wanaohusika hadi inapelekea kuwa KAWAIDA na wengine hutamani kuiba!
Hii ni Kwa sababu
1. Hakuna usimamizi nzuri wa sheria
2. Muhimili kama BUNGE hawatungi Sheria Kali ikiwa mtu atabainika kuiba fedha za Umma
Ili kufika kwenye nchi tunayoitaka mambo yafuatayo yafanyike:-
a. Bunge litunge Sheria kali za usimamizi wa maliasili na fedha za Umma.
b. Tupunguze nadharia, mfano Tume za uchunguzi ambazo ndio chanzo kimojawapo cha kuendelea ubadhilifu na vitendo vingine visivyofaa mfano RUSHWA.
c. Pawepo na uwajibishwaji wa moja Kwa moja hii itaongeza umakini na utendaji kazi.
Hii ni Kwa sababu
1. Hakuna usimamizi nzuri wa sheria
2. Muhimili kama BUNGE hawatungi Sheria Kali ikiwa mtu atabainika kuiba fedha za Umma
Ili kufika kwenye nchi tunayoitaka mambo yafuatayo yafanyike:-
a. Bunge litunge Sheria kali za usimamizi wa maliasili na fedha za Umma.
b. Tupunguze nadharia, mfano Tume za uchunguzi ambazo ndio chanzo kimojawapo cha kuendelea ubadhilifu na vitendo vingine visivyofaa mfano RUSHWA.
c. Pawepo na uwajibishwaji wa moja Kwa moja hii itaongeza umakini na utendaji kazi.
Upvote
2