Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,702
Unajua hakuna stories za kusisimua na kuogopesha kama watu waliokufa wakiweza kuamka na kukusimulia the way walivyokufa kuna waliokufa Maji,waliokufa porini na wanyama wakali,waliouwawa na majambazi,waliouwawa mateka like saanane,
Nipo nawaza how their death meet them dah hatari sana hizo stories
Hizi tunazopewa sijui jamaa alizamia akataka kwenda south Africa kwa Meli akakamatwa akateswa,zingine mara alipotea mbuga za wanyama,yaani kama alipona , sioni cha kuogopesha,ila aliekufa ndo anastories za kuogopesha sana.
*uongo?*
Mshanajr,mzizi mkavu na London baby semeni
Nipo nawaza how their death meet them dah hatari sana hizo stories
Hizi tunazopewa sijui jamaa alizamia akataka kwenda south Africa kwa Meli akakamatwa akateswa,zingine mara alipotea mbuga za wanyama,yaani kama alipona , sioni cha kuogopesha,ila aliekufa ndo anastories za kuogopesha sana.
*uongo?*
Mshanajr,mzizi mkavu na London baby semeni