Story nyepesi nyepesi tunapoanza weekend na Corona hii

Story nyepesi nyepesi tunapoanza weekend na Corona hii

Wise E

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2019
Posts
952
Reaction score
1,016
Habari zenu wakuu

Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu ni Tarime karibu na mgodi kule.

Experience ninayo wapa jina langu la sir name ni la kikurya kila sehemu nayoingia wanasema wewe sio mkurya coz am kinda muongeaji sana sina accent ya kule uwa najiuliza kwa nini mtu akijitambulisha ni mkurya watu wanaanza kuogopa hata few chicks ambao nimewadate wanasema wewe ni mkurya wa jina tu
Kwa nini watu wana mtizamo hasi na kabila letu uwa sipendi kwa kweli
stay home stay safe.
 
Mbona easy tu mkuu...mie kanda ya titi wananiita mchaga..hawaamini km ni msukuma pure..wanadai nna accent hyo..wewe tafuta hela uone km watakupinga!
 
Umenikumbusha tarime nakumbuka siku hiyo njaa inauma nikaingia zangu kwenye ile migahawa pale tarime mjini naulizia wali wananishangaa,nikasema isiwe kesi leteni ugali,loooh...ugali ule sijui ni brown ama mwekundu..nikauliza wakaniambia ni ugali wa mtama..basi bwana nikauliza mboga..nikaambiwa toka hapo nje kuna nyama ya kuchoma.,nikatoka kwa nje nikakuta mapande ya nyama kwenye wavu kila moja na bei yake..nikachagua mapande yangu nikaingia ndani kusubiria nyama.

Wakati nyama iko tayari nikaulizwa "unapenda kichuri"? Nikajibu ndio nini hio..wakaniambia ngoja tukuwekee tu utajionea..lakini kilichonishangaza hicho kichuri chenyewe dizain kama mavi ya ng'ombe lile rojo..anayways nikalazangu ule ugali.nikisindikiza na nyama choma,ofcoz haukua mbaya japo ilikua ndio mara yangu ya kwanza..baada ya hapo nikakamata zangu "mchomoko" huyooo to Sirari kuendelea na ratiba zingine.

NB.Take care of yourself..Covid 19 is real.
 
Umenikumbusha tarime nakumbuka siku hiyo njaa inauma nikaingia zangu kwenye ile migahawa pale tarime mjini naulizia wali wananishangaa,nikasema isiwe kesi leteni ugali,loooh...ugali ule sijui ni brown ama mwekundu..nikauliza wakaniambia ni ugali wa mtama..basi bwana nikauliza mboga..nikaambiwa toka hapo nje kuna nyama ya kuchoma.,nikatoka kwa nje nikakuta mapande ya nyama kwenye wavu kila moja na bei yake..nikachagua mapande yangu nikaingia ndani kusubiria nyama.

Wakati nyama iko tayari nikaulizwa "unapenda kichuri"? Nikajibu ndio nini hio..wakaniambia ngoja tukuwekee tu utajionea..lakini kilichonishangaza hicho kichuri chenyewe dizain kama mavi ya ng'ombe lile rojo..anayways nikalazangu ule ugali.nikisindikiza na nyama choma,ofcoz haukua mbaya japo ilikua ndio mara yangu ya kwanza..baada ya hapo nikakamata zangu "mchomoko" huyooo to Sirari kuendelea na ratiba zingine.

NB.Take care of yourself..Covid 19 is real.
ha ha kuna mighawa ya wajomba zangu hapo karibu na stand ha ha sisi tunakulaga ugali tuu mzee
 
ha ha usiwaponde dada zangu bana sku hizi mambo yamebadilika siyo kama zamani
Kuna dada wa kikurya alikuwa anaishi jirani yetu..yule dada alikuwa hapendi ujinga mumewe akizingua anamdunda haswa..mumewe alikuwa mlevi alinyooka kwa kipigo na akakaa sawa....figisu za mama mkwe wakaja kuachana..yule mwanaume karudi tena kwenye ulevi tena ule ulevi wa mataptap sio [emoji481]..juzi tu hapo kanywa kakaa nje ya nyumba ya wazazi wake kaanza kulia anamlaumu mama ake kwa kumfukuzia mkurya wake..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa alinichekesha khaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada wa kikurya alikuwa anaishi jirani yetu..yule dada alikuwa hapendi ujinga mumewe akizingua anamdunda haswa..mumewe alikuwa mlevi alinyooka kwa kipigo na akakaa sawa....figisu za mama mkwe wakaja kuachana..yule mwanaume karudi tena kwenye ulevi tena ule ulevi wa mataptap sio [emoji481]..juzi tu hapo kanywa kakaa nje ya nyumba ya wazazi wake kaanza kulia anamlaumu mama ake kwa kumfukuzia mkurya wake..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa alinichekesha khaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha dada zangu awapendagi miyeyusho ukizingua wanakuzingua ha ha huyo mwamba alitisha chingine dada zangu wavumilivu sana
 
ha ha dada zangu awapendagi miyeyusho ukizingua wanakuzingua ha ha huyo mwamba alitisha chingine dada zangu wavumilivu sana
Hizi ni fix tu....nna jirani yangu Mkurya yule dada ni mpole hatari
 
ha ha dada zangu awapendagi miyeyusho ukizingua wanakuzingua ha ha huyo mwamba alitisha chingine dada zangu wavumilivu sana
[emoji3][emoji3]ila yule dada alikuwa hatari si kwa kushusha kipigo namna ile.. kwenye uvumilivu wanao haswa si mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom