Story ya Kambona ipo kwenye kitabu cha kina Shivji

Story ya Kambona ipo kwenye kitabu cha kina Shivji

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma.

Baadhi ya Mikasa yake
  • Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa
  • Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz
  • Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu
  • Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku wanakapenyeza Tz kusambaza propoganda.
  • Anafanya plotting ya Co detat anachemka
  • Anarudi Tz 1992 baada ya miongo miwili Uingereza
  • Anapiga mgomo siku ya uapisho wake kama Minister wa tamisemi
  • Dah huyu jamaa!!!

MY TAKE:
Tupende kusoma, vitabu vina taarifa nyingi sana. Soma Kipande kinaitwa "Socialism on the Mount" Vol. 3 ya Bio ya Mwalimu
 
Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma.

Baadhi ya Mikasa yake
  • Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa
  • Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz
  • Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu
  • Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku wanakapenyeza Tz kusambaza propoganda.
  • Anafanya plotting ya Co detat anachemka
  • Anarudi Tz 1992 baada ya miongo miwili Uingereza
  • Anapiga mgomo siku ya uapisho wake kama Minister wa tamisemi
  • Dah huyu jamaa!!!

MY TAKE:
Tupende kusoma, vitabu vina taarifa nyingi sana. Soma Kipande kinaitwa "Socialism on the Mount" Vol. 3 ya Bio ya Mwalimu
Sawa mkuu!
 
Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma.

Baadhi ya Mikasa yake
  • Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa
  • Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz
  • Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu
  • Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku wanakapenyeza Tz kusambaza propoganda.
  • Anafanya plotting ya Co detat anachemka
  • Anarudi Tz 1992 baada ya miongo miwili Uingereza
  • Anapiga mgomo siku ya uapisho wake kama Minister wa tamisemi
  • Dah huyu jamaa!!!

MY TAKE:
Tupende kusoma, vitabu vina taarifa nyingi sana. Soma Kipande kinaitwa "Socialism on the Mount" Vol. 3 ya Bio ya Mwalimu
Maarifa yako vitabuniiii watanzania hatupendi kusoma vitabu hata vijarida online hatupendiii....
 
Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma.

Baadhi ya Mikasa yake
  • Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa
  • Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz
  • Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu
  • Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku wanakapenyeza Tz kusambaza propoganda.
  • Anafanya plotting ya Co detat anachemka
  • Anarudi Tz 1992 baada ya miongo miwili Uingereza
  • Anapiga mgomo siku ya uapisho wake kama Minister wa tamisemi
  • Dah huyu jamaa!!!

MY TAKE:
Tupende kusoma, vitabu vina taarifa nyingi sana. Soma Kipande kinaitwa "Socialism on the Mount" Vol. 3 ya Bio ya Mwalimu
Propaganda tu hizo za kuchafuana na hadithi za upande mmoja.

Kosa la Kambona ilikuwa kupinga ujamaa na sera za Nyerere.

JokaKuu Pascal Mayalla zitto junior Nguruvi3
 
Kosa ni kosa. Kwa hiyo alikuwa kinyume cha utawala si ndio, alistahili adhabu si ndio
Kosa lake ilikuwa ni kuwa na mawazo mbadala wa njia tuliyopaswa kuifuata ili kuijenga nchi.

Huenda alikuwa sahihi...... anyway tujifunze kwa waliopita ili tujenga kesho njema.

Rip Julius
Rip Kambona
 
Maarifa yako vitabuniiii watanzania hatupendi kusoma vitabu hata vijarida online hatupendiii....
Kuna maarifa sana, nimesoma hizi volumes za Bio ya JKN aisee imesheheni taarifa za kutosha sana kuhusu Nyerere na Tanzania, jamaa wamefanya utafiti yakinifu.
 
Kosa lake ilikuwa ni kuwa na mawazo mbadala wa njia tuliyopaswa kuifuata ili kuijenga nchi.

Huenda alikuwa sahihi...... anyway tujifunze kwa waliopita ili tujenga kesho njema.

Rip Julius
Rip Kambona
Tatizo kwa Kadri nilivyosoma sio tu kuwa na mawazo, zile Co detat attempts na uasi dhidi ya Serikali ndo tatizo lilipoanzia
 
Kitabu gani hicho nikitafute ???
Development as Rebellion: A Biography of Julius Nyerere...kimeandikwa na Watanzania Saida Yahya-Othman, Ng’wanza Kamata na Issa G. Shivji. Kipo Mkuki na Nyota.
 
Back
Top Bottom