Story ya kuuza mechi ya Simba Cairo na mkasa wa Shafii Dauda. Zimbwe jr, Kapombe vs Kaizer Chiefs

Story ya kuuza mechi ya Simba Cairo na mkasa wa Shafii Dauda. Zimbwe jr, Kapombe vs Kaizer Chiefs

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,gutti kwenye club bingwa ya dunia

Marahemu james siang'a mkenya aliyekuwa kocha wa simba anasema kuna mtanzania mwenye asili ya kiasia (siyo mo dewji)aliongea naye na baadhi ya wachezaji kwamba wauze mechi kwa zamalek baada ya wa mirsri kuona ngoma ngumu hapa dar es salaam

Kocha msaidizi wa simba matola alikuwepo kwenye kikosi aanajua mengi zaidi yetu na mo dewji alikuwa na miaka kama 26 akawapokea simba na kuvua shati akiwa ndani ya fuso kusheherekea kuingia group stages

Fast foward jana tukiwa na matumaini ya kuingia nusu fainali tumelawitiwa na kazier chiefs nikakumbuka andiko langu hili shafii dauda adai aliiokoa simba dhidi ya yanga kuchukua wachezaji


Shafih dauda adai aliiokoa simba .....

Katika comments za huo uzi nikauliza zimbwe na kapombe kama hamkanushi hii statement ya shaffih dauda mnatuhakikishiaje mkicheza na yanga au siku mkiboronga kama jana hamjauza mechi?

Haya sasa mlikaa kimya sababu mnajua wanachi wa tanzania ni mafala tu hata kukanusha mlikataa na ndugu dauda alionekana viunga hivyo mlipo huko...Haya bana whatever the case sawa tu ila hongera kwa kaizer chiefs tumelaawitiwa na hanithi walahi dahhhhhhh

Ushauri wangu kwa yeyote mwansimba aliye karibu na gomes mechi ijayo katikati awe lwanga,muzamiru kama namba 7,nyoni 8 ,mbele ni boko,chama na luis..

Mkude imetosha kwa sasa muacheni anywe pombe hawezi kusaidia mabeki wakizidiwa hata kama tuna mabeki wawili waliokula advance money ya yanga kwa mujibu wa shaffih dauda atleast basi tungeona hata kitu..
 
Ukipigwa

Usitumotivate
siyo kupigwa tumelawitiwa na mahanithi bila kilaininishi NIMEWEKA UZI wa siku za nyuma kuwaonya zimbwe jr na kapombe kwamba kunyamazia waraka wa shaffih dauda kwamba wamechukua advance ya yanga siku mambo yakiwaendea vibaya tutataka majibu si yametokea jana?
 
2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,GUTTI kwenye club bingwa ya dunia...
Tuacheni Visingizio vya Kipumbavu na Kishamba. Simba SC imefungwa Kimchezo na Timu Bora Barani Afrika na Afrika Kusini.
 
Tuacheni Visingizio vya Kipumbavu na Kishamba. Simba SC imefungwa Kimchezo na Timu Bora Barani Afrika na Afrika Kusini.
narudia tena kama nilivyosema siku ikatokea utopolo wakatupiga kama na kutulawiti kama jana ilivyotokea huko jo burg nitawakumbusha KAPOMBE NA ZIMBWE JR hili andiko la shaffih dauda HADI WARUDISHE HIZO HELA ZA GSM....
SHAFF8IH ZIMBE KAPOMBE.PNG
 
Nakumbuka simba alikutana na enyimba.. enzi hizo simba uchawi wao mvua . Siku aliyoenda enyimba village, aba state nigeria, mvua kubwa ilinyeeesha simba akajua anatoboa...

Kilichomkuta mpaka rage alitoa machozi akaona enyimba wauaji.

Na enyimba kuonesha wana jambo lao.. baada ya kumchinja mnyama wakaenda twaa caf champions legue kwa mara yao ya kwanza mwaka huo 2003.. mwaka huo enyimba namkumbuka obina nanweri, viceant enyeama.. na simba namkumbuka pawassa
 
Nakumbuka simba alikutana na enyimba.. enzi hizo simba uchawi wao mvua . Siku aliyoenda enyimba village, aba state nigeria, mvua kubwa ilinyeeesha simba akajua anatoboa...

Kilichomkuta mpaka rage alitoa machozi akaona enyimba wauaji
jana tumezidiwa sana kimbinu ingawa kwa south africa jamaa wa kaizer chiefs wanasifika kwa MUTI(uchawi)nashauri NGUVU KUBWA TU IELEKEZWE KWENYE UCHAWI KUANZIA KESHO ASUBUHI hamna namna goals 5 kurudisha ni nyingi sana na PIA JONAS MKUDE WAMUONGEZEE MSHAHARA NA MA KRETI YA BEER AENDELEE KUNYWA POMBE TU PALE KATI AKAE LWANGA,NYONI NA MUZAMIRU
 
jana tumezidiwa sana kimbinu ingawa kwa south africa jamaa wa kaizer chiefs wanasifika kwa MUTI(uchawi)nashauri NGUVU KUBWA TU IELEKEZWE KWENYE UCHAWI KUANZIA KESHO ASUBUHI hamna namna goals 5 kurudisha ni nyingi sana na PIA JONAS MKUDE WAMUONGEZEE MSHAHARA NA MA KRETI YA BEER AENDELEE KUNYWA POMBE TU PALE KATI AKAE LWANGA,NYONI NA MUZAMIRU
4G bado imekuvuruga wewe! Hakuna tena zile tambo za This is Thimba bhana Wazee wa Next level! Pira biriani!! Sijui Chama alistahili kucheza Barcelona!! Kwishney!!!
 
2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,gutti kwenye club bingwa ya dunia

Marahemu james siang'a mkenya aliyekuwa kocha wa simba anasema kuna mtanzania mwenye asili ya kiasia (siyo mo dewji)aliongea naye na baadhi ya wachezaji kwamba wauze mechi kwa zamalek baada ya wa mirsri kuona ngoma ngumu hapa dar es salaam

Kocha msaidizi wa simba matola alikuwepo kwenye kikosi aanajua mengi zaidi yetu na mo dewji alikuwa na miaka kama 26 akawapokea simba na kuvua shati akiwa ndani ya fuso kusheherekea kuingia group stages

Fast foward jana tukiwa na matumaini ya kuingia nusu fainali tumelawitiwa na kazier chiefs nikakumbuka andiko langu hili shafii dauda adai aliiokoa simba dhidi ya yanga kuchukua wachezaji


Shafih dauda adai aliiokoa simba .....

Katika comments za huo uzi nikauliza zimbwe na kapombe kama hamkanushi hii statement ya shaffih dauda mnatuhakikishiaje mkicheza na yanga au siku mkiboronga kama jana hamjauza mechi?

Haya sasa mlikaa kimya sababu mnajua wanachi wa tanzania ni mafala tu hata kukanusha mlikataa na ndugu dauda alionekana viunga hivyo mlipo huko...Haya bana whatever the case sawa tu ila hongera kwa kaizer chiefs tumelaawitiwa na hanithi walahi dahhhhhhh

Ushauri wangu kwa yeyote mwansimba aliye karibu na gomes mechi ijayo katikati awe lwanga,muzamiru kama namba 7,nyoni 8 ,mbele ni boko,chama na luis..

Mkude imetosha kwa sasa muacheni anywe pombe hawezi kusaidia mabeki wakizidiwa hata kama tuna mabeki wawili waliokula advance money ya yanga kwa mujibu wa shaffih dauda atleast basi tungeona hata kitu..
Umelawitiwa mwenyewe choko mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom