Story za vijiweni kuhusu watumiaji wa bangi (malijuana/mjani)

Story za vijiweni kuhusu watumiaji wa bangi (malijuana/mjani)

pipi mti

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
764
Reaction score
514
Ikiwa kama njia ya kupunguza stress za maisha au kwa mfano ningekua na takwimu ningesema kujisahaulisha ukazaji wa vyuma[emoji23] [emoji23] .Hebu tujikumbushe story za watumiaji wa huu mmea wa marijuana maana hua zinafurahisha sana hasa ukipata msimuliaji wa lugha ya picha.

Kuna jamaa huku kitaa yeye hua akivuta basi anajikuta yeye ndio mrefu na mkubwa kuliko kila kitu sasa hua ananiacha hoi kila anapofika sehemu yenye nguzo za umeme ambapo waya zimepita juu yake yeye anainama ili apite bila kugusa waya[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
 
Kuna mwingine akivuta tu anaanza kuimba wimbo wa taifa akiwa amepiga saluti.
 
Ikiwa kama njia ya kupunguza stress za maisha au kwa mfano ningekua na takwimu ningesema kujisahaulisha ukazaji wa vyuma[emoji23] [emoji23] .Hebu tujikumbushe story za watumiaji wa huu mmea wa marijuana maana hua zinafurahisha sana hasa ukipata msimuliaji wa lugha ya picha.

Kuna jamaa huku kitaa yeye hua akivuta basi anajikuta yeye ndio mrefu na mkubwa kuliko kila kitu sasa hua ananiacha hoi kila anapofika sehemu yenye nguzo za umeme ambapo waya zimepita juu yake yeye anainama ili apite bila kugusa waya[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
C9T4nOcXsAAx5Zz.jpg
 
Kuna jamaa humu akivutaga huo mmea yeye anaquote thread zoote anazosoma alafu chini anaandika "OK"

Na mwingine ID kapuni, yani yeye huwa akisikia mtu kaandika Uzi Fulani akiwa na shida au kuuliza kitu Fulani yeye anasoma alafu hachangii chochote ila baada ya muda mrefu kupita yani hata baada ya mwaka ndio huwa anarudi kwenye ile thread na kuuliza "mkuu ulifanikiwa?"[emoji23] [emoji23] mjani sio issue.
 
nakumbuka miaka ya late 80's. kuna jamaa walipiga kitu ya kanda maalum, waliranduka mchana kweupee, walipofika karibu na barabara ya lami wakavua nguo zote na kubaki na chupi tu. wakawa wanavuka barabara huku wakiwa wameshikilia nguo juu juu ili zisiloe. wengine wakiwa wanaruka kwenye lami eti wanaona ni mto. matokeo wengine wakachubuka magotini. kweli bange ni noma.
 
nakumbuka miaka ya late 80's. kuna jamaa walipiga kitu ya kanda maalum, waliranduka mchana kweupee, walipofika karibu na barabara ya lami wakavua nguo zote na kubaki na chupi tu. wakawa wanavuka barabara huku wakiwa wameshikilia nguo juu juu ili zisiloe. wengine wakiwa wanaruka kwenye lami eti wanaona ni mto. matokeo wengine wakachubuka magotini. kweli bange ni noma.
Aiseee nmecheka kishenz mkuu yani wakavua nguo ili zisilowane ha ha haaaa
 
Back
Top Bottom