Straika wa zamani wa Simba, Ali Ahmed Ali “Shiboli” afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kukutwa na Bangi

Straika wa zamani wa Simba, Ali Ahmed Ali “Shiboli” afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kukutwa na Bangi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mtuhumiwa: Ali Ahmed Ali (Shiboli)
Shauri ni jipya Mshtakiwa amesomewa shtaka lake na Mwendesha Mashtaka Juma Ali Juma mbele ya Jaji Salum Hassan Bakar.
Mshtakiwa amekata shtaka lake.
Mtuhumiwa yupo Rumande hadi tarehe 19.11.2024 kwa kutajwa.

WhatsApp Image 2024-11-05 at 10.27.15_9f350692.jpg
 
Mtuhumiwa: Ali Ahmed Ali (Shiboli)
Shauri ni jipya Mshtakiwa amesomewa shtaka lake na Mwendesha Mashtaka Juma Ali Juma mbele ya Jaji Salum Hassan Bakar.
Mshtakiwa amekata shtaka lake.
Mtuhumiwa yupo Rumande hadi tarehe 19.11.2024 kwa kutajwa.

80% ya wachezaji mpira na basketball wanavuta bangi
 
Hakuna mchezaji asiyevuta bangi
Ni kama wasanii wanapokua studio.

Kabla ya kuingia booth kuingiza vocal, wasanii wengi(kama sio wote) huwa wanavuta bangi kidogo ili kuweka kichwa sawa, na pia bangi huwa ni kama inazibua masikio.(kama huamini jaribu, halafu nenda kasikilize mziki)

Ukivuta bange masikio huzibuka dizain
fulani(ukisikilza wimbo unauskia katika kila angle, mpangilio wa sauti zooote unaziskia peke yake, beat lote unalisikia peke yake, hata kama kuna nini unakisikia vizuuuri peke yake).

Haya nayasema kwa sababu nimezunguuka sana kwenye studio, wasanii wote wakubwa kwa wadogo ni lazima wavute bangi, hata waimba kwaya wanavuta.

Kuna msanii mmoja mkubwa sana alikujaga studio akawa ni kama anaona aibu wakati wa kuingiza vocal, akapewa bange astue, baada ya hapo ngoma aliyorekodi ilikua hit.

Angalia ngoma ya mbosso shilingi yang'ara ng'ara angalia jicho la mbosso, mchizi hiyo video alivuta bange ile mbaya, jicho jekunduuuuuu.

P funk alimpiga afande sele bonge moja la kofi pale bongo record sababu ya kuvuta bange.

Kuna studio ukiingia, mtu alieko umbali wa mita moja huwezi kumuona, mimoshi mwanzo mwisho chumba kizima.
 
Ni kama wasanii wanapokua studio.

Kabla ya kuingia booth kuingiza vocal, wasanii wengi(kama sio wote) huwa wanavuta bangi kidogo ili kuweka kichwa sawa, na pia bangi huwa ni kama inazibua masikio.

Ukivuta bange masikio huzibuka dizain
fulani(ukisikilza wimbo unauskia katika kila angle, mpangilio wa sauti zooote unaziskia peke yake, beat lote unalisikia peke yake, hata kama kuna nini unakisikia vizuuuri peke yake).

Haya nayasema kwa sababu nimezunguuka sana kwenye studio, wasanii wote wakubwa kwa wadogo ni lazima wavute bangi.

Kuna msanii mmoja mkubwa sana alikujaga studio akawa ni kama anaona aibu wakati wa kuingiza vocal, akapewa bange astue, baada ya hapo ngoma aliyorekodi ilikua hit.

Angalia ngoma ya mbosso shilingi yang'ara ng'ara angalia jicho la mbosso, mchizi hiyo video alivuta bange
Ni kweli hivi unadhani kuperform kwenye nyomi ya watu ni kazi rahisi?either pombe au bangi lazima ihusike
 
Back
Top Bottom