KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
(1) Wasimu-attack Kikwete moja kwa moja ktk mashambulizi yao wanayoyafanya wakiwa katika majukwaa ya siasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Kwa nini ? Kumshambulia Kikwete moja kwa moja katika kushindwa kwake, kutasaidiwa na "sweeper" wake, hawa sana sana wanakuwaga wajumbe wa NEC wakiongozwa na Makamba, Chiligati, Msekwa and the team.
(2) Wanachotakiwa kufanya sasa ni kuelezea failures za CCM, nini CCM imeshindwa kufanya, na iliahidi nini na kati ya hayo yaliyoahidiwa, yatajwe yale ambayo hayakuweza kufanywa. Baada ya hapo, wapinzani wasisitize kwamba CCM haina jipya litakalofanya na iwapo kuna jipya lingefanyika sasa hivi. Kile kinachoonekana katika serikali ya CCM sasa hivi ndicho hicho hicho kitakachofanyika katika awamu nyingine IWAPO serikali watachaguliwa, hili walisisitize kwa sana!
Waendelee kuwapaka hawa wanaopaka rangi sera mbovu za ccm kwa kuwalaghai wanachi, na iwapo hii itafanya kazi basi kumuangusha Kikwete itakuwa rahisi, maana kwa mtazamo wangu ni kwamba hawa "sweepers" wanaomsafishia njia Kikwete wakati wa kampeni hufanya kazi kubwa kuliko afanyavyo Kikwete mwenyewe, maana njia inakuwa nyeupe baada ya hao jamaa kumsafishia njia. Kwa kifupi wakichafuliwa hawa tu, jamaa juu kazi anayo!
Nyingine mtaongeza..................
(2) Wanachotakiwa kufanya sasa ni kuelezea failures za CCM, nini CCM imeshindwa kufanya, na iliahidi nini na kati ya hayo yaliyoahidiwa, yatajwe yale ambayo hayakuweza kufanywa. Baada ya hapo, wapinzani wasisitize kwamba CCM haina jipya litakalofanya na iwapo kuna jipya lingefanyika sasa hivi. Kile kinachoonekana katika serikali ya CCM sasa hivi ndicho hicho hicho kitakachofanyika katika awamu nyingine IWAPO serikali watachaguliwa, hili walisisitize kwa sana!
Waendelee kuwapaka hawa wanaopaka rangi sera mbovu za ccm kwa kuwalaghai wanachi, na iwapo hii itafanya kazi basi kumuangusha Kikwete itakuwa rahisi, maana kwa mtazamo wangu ni kwamba hawa "sweepers" wanaomsafishia njia Kikwete wakati wa kampeni hufanya kazi kubwa kuliko afanyavyo Kikwete mwenyewe, maana njia inakuwa nyeupe baada ya hao jamaa kumsafishia njia. Kwa kifupi wakichafuliwa hawa tu, jamaa juu kazi anayo!
Nyingine mtaongeza..................