Usijitangaze kuogopa niniiiBonge ajitangaza kuanzia lini.
Ndio maana unaweza kuvimbiwa kwa sababu tumbo halisemi kama limezidiwaHiyo huwa hatufkilii wakati tunakula [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwenye hizo mambo hakuna kuona aibuVichapati eti 200 nilitamani niagize hata 5 [emoji1][emoji1][emoji1] vyepesi nikaogopa macho ya watu
SawaaaaNimeitwa huko chumbani, hata sijui kuna nini. Ngoja niende. Nikitoka huko ntakumwagia story za saba moja moja!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vichapati eti 200 nilitamani niagize hata 5 [emoji1][emoji1][emoji1] vyepesi nikaogopa macho ya watu
Sa si unieleweshe mamaDada huwezi kuelewa lazima ushangae ujue
SawaaaaYaaan nipo jamaan aendelee tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana tuu aiseeh, Noah angeendesha sasa hiyo 14000 atafanyia nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo hapa na me nakusubiri slimNimeitwa huko chumbani, hata sijui kuna nini. Ngoja niende. Nikitoka huko ntakumwagia story za saba moja moja!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] jichekee mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio firigisi hizoHayo hapo na mabandama
Kweliii MwifwaAisee
Maandishi pia huonyesha mofoloji ya mtu. Katka ubonge haupo.Usijitangaze kuogopa niniii
NdiwooooooNdio maana unaweza kuvimbiwa kwa sababu tumbo halisemi kama limezidiwa
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hayo hapo na mabandama
Hapana kaka chapati 5 wangenishangaa ujueKwenye hizo mambo hakuna kuona aibu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ujue sasa mwifwa kama ndio shunie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ningekuwepo ningekufotoa kabisa na kukupost huku jukwaani
Sawa Shunie hujawahi kunidanganyaKweliii Mwifwa