Jifunze tu hadi uweze, unajaribu kwanza unaweka viwili vikikuzingua unavitoa unaangalia video unajaribu tena, hadi uweze. Utube ni mkombozi kwakweli.Hahaaa. Mie bado sipapatii picha pale ila nahitaji siku moja nijifunze pia kwa kweli
MamboCarba
Sawa dada itabidi nifanye hivyo kwa sababu huwa natamani kweli.Jifunze tu hadi uweze, unajaribu kwanza unaweka viwili vikikuzingua unavitoa unaangalia video unajaribu tena, hadi uweze. Utube ni mkombozi kwakweli.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwahiyo na Mimi nipumzike au ?Kapumzika kama mke ameshapata jf afanye nini [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Pumzika mshkaji wangu unafanya nini tena jaman[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwahiyo na Mimi nipumzike au ?
[emoji41] [emoji41] [emoji41]Ila yupo poa anaona anabadilisha stts tu
Ndio maana nakuwa mvivu Sana kuingia humuPumzika mshkaji wangu unafanya nini tena jaman
AhahahaaaaaaMi na wewe hatushindwani.
Mjibu basi...[emoji3][emoji3]Akikujibu niite
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti auntie we hapana [emoji114]
Kama nakuona..Jichekesheni tu, ila kapu la mama mjue ndio mshalila hivyo. Siku ya siku nakuja mkavuuuuuu, na simu yangu tu mkononi.
Yaaani nimekileta jana tuKimeliwa na panya jaman sakayo aliniambia
Amani tuu mkwe...Alafu mkwe hiyo avatar inafanya nikupotee! Ndio uzalendo?
Mdogo wangu..Niko salama kabisa dada namshukuru M'mungu niko poa kabisa.
Na Kwako pia mpenziNalala waungwana muwe na usiku mwema Mwenyezi Mungu awasimamie mlale salama wote.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nisamehe jamani
Hao panywaaa! Una kiwanda cha panya ndani kwako?Ewaaa
[emoji41][emoji41]Shkamo
Sawa mdogo wangu.Nalala waungwana muwe na usiku mwema Mwenyezi Mungu awasimamie mlale salama wote.