Ngoja ntafute mawani kwanzaTranscend
Shunie
Linamo
Neybright
Carba
Emmyta
Espy
Numbisa
Ukhuty
Mwifwa
Moneytalk
Tumosa
Maserati
Mndali
Lee Empire
Shululu
Slim
Larizaro
RRONDO
BAK
Jiwe dogo
Heven sent
Bonny
Mchepuko wangu Asprin
Kichwa
Quigley
Mzeewakungoa
Sakayo
Nyagei
Belly5
Miss Chagga
Madam S
Makavel...
N.k
Haupo [emoji3][emoji3][emoji6]Ngoja ntafute mawani kwanza
[emoji3][emoji3][emoji3]Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho
Mkwe we waache tu wale vitu vyangu, hiyo siku watafurahi.Kama nakuona..
Mimi mwenyewe niko shocked..
Alafu sijui ni kama hawafundiki..Mkwe we waache tu wale vitu vyangu, hiyo siku watafurahi.
Yani hicho ndo kimenistua ama kweli kuchekewa sio ndo kupendwa watu miaaa mii simo ngoja nikae kimya tuMimi mwenyewe niko shocked..
Ila lile bandiko lilitaka watu 5 tuu..
Sasa yeye kataja watu milioni na bado haupo? [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji116][emoji116]
Manga Nisamehe bure.... We nimekutaja kule pm bhana.... Lakini si Umeona n.k palee mtu wangu!!!!!
Ulilala Wapii wewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii tabia utaacha lini?
Manake ukitaka Redbull ndio unakuwaga hivi.. [emoji3]
Acha uchochezi bhana.. Manga nakukubali kishenziHaupo [emoji3][emoji3][emoji6]
Niko Soni huku kwa mzigua...Ulilala Wapii wewe
Tatizo umebadili avatar.... Angalia pm hukooo nimekutajaNgoja ntafute mawani kwanza
Panya fundi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hao panywaaa! Una kiwanda cha panya ndani kwako?
Hahaha!Tatizo umebadili avatar.... Angalia pm hukooo nimekutaja
Sijui mieMjibu basi...[emoji3][emoji3]
SawaNiko Soni huku kwa mzigua...