Hivi hichi kijiwe mumekiuza kwa Dr. Lousi?Abeeh
Yap mkuu
Watu wanapambana na hali zao ujueHivi hichi kijiwe mumekiuza kwa Dr. Lousi?
Maana kimepoa hadi panaboa
MmmhhhWatu wanapambana na hali zao ujue
usione kimya nilitingwa ila tutaendelea my kakaHivi hichi kijiwe mumekiuza kwa Dr. Lousi?
Maana kimepoa hadi panaboa
Usijali.usione kimya nilitingwa ila tutaendelea my kaka
Usiku na MchanaMpoo
Poa mkuuMambo vp wadau?
AiseeDhen
LinamoHellooooooo
Nipoo ila napatikana kwa kumulikwa na kurunzi.Upo swahiba?
Nimekumiss
Majukumu tu ya kawaida.Nini tena mpaka upatikane kwa tochi?
la 3b........Mkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa.
Cc.Shunie
Cc.Carba
Cc.Sakayo
Cc.Emmyta
Cc.Ukhuty
Cc.Numbisa
Cc.Youngblood
Cc.Sergio5
Cc.Baily
Cc.Ndula87
Cc.Neybright
Cc.Mwifwa
Na wengine wote mnaopenda story mvurugano.