Huku pouwahJamani huku veeepe
Vizuri kusikia hivyo mwanafunzi wangu mwenye nidhamu iliyotukuka.Am doing good [emoji7][emoji7] miss u
Nashukuru sana kwa kunipa heshima yangu.Kweli kabisa nakuheshimu sana
Nimesharejea niko down town now.Kila la heri fakalava Mungu akusaidie
Karibu sana mjini najua umejaa hapoVizuri kusikia hivyo mwanafunzi wangu mwenye nidhamu iliyotukuka.
Nashukuru sana kwa kunipa heshima yangu.
Nimesharejea niko down town now.
Hujambo wewe?Nipooo
HahahaHivi kumbe kijiwe bado kipo....
Tuendelee kupiga soga sie tunaosubiri kupangiwa kazi nyingineHivi kumbe kijiwe bado kipo....
Huyo anayekuteka mwambie sio vizuri...Kipo mamy wewe tu unaadimika
Mpe hongera hata hivyoMiss you too Mamito. Yani amejua kunifungia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hapa kwa mm msubiri kupangiwa kazi,pananifaaDaah. Naona kijiwe kimehuishwa! Nawasalimu sana
Leo Kongoro Sina. Jana usiku pale Kiembembuzi kulikuwa na fujo ya kugombania Kongoro, sa Mi maneno mengi na mbio tu, nguvu Sina!Mimi mzima sijui hali yako.
Kongoro lipo?