TehHiyo babe ni veeepe
Kule karibu na shauri moyo... Kuna visima vingi vya maji kama mnafuga vyura[emoji23] [emoji23]Karibu na mdote ka waenda majengo
Nilikuwa nasubiria jibu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hapana hapana hapana hiyo ni kwaajili ya shunie tu
AhahahhhhMwenyewe mdogo wangu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hapana hapana hapana hiyo ni kwaajili ya shunie tu
Umeona we hufai kuwa jirani yakeIpo wapi?
HahaWe itikia tu ukiambiwa vyovyote
MmmhMdote shule ya msingi, hapo lazima hapajui
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mchochezi weweNilikuwa nasubiria jibu
Kazi kwangu ipi jamaan mbona rahisi tu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Shunie kazi kwako
Ndiyo maana nakukubali shunie hujivungi[emoji813] [emoji813] [emoji813]Ewaaaaa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ahahahhhh acha uoga
Njoo basiUmenitamanisha nyama ulivyopataja yaan nikienda arusha lazima niende hapo
Ya kunogesha barazaHiyo babe ni veeepe
Kho kho kho kho kho kho kho kho kho kho kho kho khoEwaaaaa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ivi kapotelea wapi??Babe kwangu tu jamaan au umekuwa kama muosha masufulia
Kwani huoni JiraniHata sijui jirani ndio umeniambia sasa hivi...
Wewe kila sehemu unaijua, au umekimbiza mwenge [emoji23] [emoji23]Mmmh
TehIpo wapi?