[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Duh!!
Ka movie gift fulani hivi amazing....Charlie ChaplinNi ninii hiyo isije ikanimalizia bundle langu bure nikajuta
Usimuamshe aliyelala utalala weweKheee mwenyewe nitalala mda si mrefu kumfata babe luv youngblood
Basi kesho sitakuwa na mashakaSawa sawa kila siku una mashaka na me
Nipate angalau PM moja ya kuringia basiAhahhh tukusaidie nini tena sie
Ndio hivyoKheeeee
Nsaidie kumshtua nachoka kusubiri.Usubiri hapo hapo atakuja kukutag
Nipate angalau PM moja ya kuringia basi
Kujaribu si kushindwaInawezekana kweli???
Nilikiwa busy na Babu Seya na Papii!Kweli eeh
Halafu kwa nini unipotee hivyo jirani
Usiseme kwa sauti! Wenye Chuki mpk humu wamo!Kesho uje mdote kuna Nazi zako
Kuna Mapupu ya "wazawa" na kuna mapupu ya "mamluki!"[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Watatumalizia mapupu bure..
Full Nyama Choma!Unapajua kwa mromboo
Hayo ya wazawa ndio nimo na akina cuzoo hapoKuna Mapupu ya "wazawa" na kuna mapupu ya "mamluki!"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nilikiwa busy na Babu Seya na Papii!
That's. Unajua kila sehemu Pana VIP wake. Nanyi ni miongoni mwake!Hayo ya wazawa ndio nimo na akina cuzoo hapo
Yap yap.That's. Unajua kila sehemu Pana VIP wake. Nanyi ni miongoni mwake!
Morning dingimtotoGood morning peoplez...!!
My morning is good, sijui Kwako?Good morning peoplez...!!